Maxence Melo ndani ya Kikaangoni LIVE EATV

Maxence Melo ndani ya Kikaangoni LIVE EATV

me4u

Member
Joined
Oct 26, 2012
Posts
42
Reaction score
13
Jamani wapendwa nimeona ni-share na nyie hili, nimepitia page ya EATV na kuona wameweka kuwa kesho katika chat yao ya KIKAANGONI LIVE, watamkaanga mwanzilishi wa Jamii Forums, naamanisha atachati na kujibu maswali ya watu tofauti kuhusu yeye na jamii forums


kikaangoni-Maxence.png


================================

Kwa wale wanaopenda kufahamu zaidi kuhusu Maxence Melo Soma - https://www.jamiiforums.com/great-t...ew-with-jamiiforums-founder-maxence-melo.html
 
Jamani wapendwa nimeona ni-share na nyie hili, nimepitia page ya EATV na kuona wameweka kuwa kesho katika chat yao ya KIKAANGONI LIVE, watamkaanga mwanzilishi wa Jamii Forums, naamanisha atachati na kujibu maswali ya watu tofauti kuhusu yeye na jamii forumsView attachment 147083


Kumbe huyo ndio Mwanzilishi wa JF mbona sijawahi kumsikia siku zote nilifikiri JF Mali ya CHADEMA!
 
Yani we max ujiandae kabisa kutuambia siri yako na zitto nyuzi zake unataka zimsifu tofauti na hapo uzi unapotea gafla
 
Kumbe huyo ndio Mwanzilishi wa JF mbona sijawahi kumsikia siku zote nilifikiri JF Mali ya CHADEMA!

Ni vizuri kupata uwelewa mpana kabla ya kujiunga na kitu chochote. Inaelekea hata kanuni za JF hujawahi kuzisoma wewe.

Join Date : 31st January 2014
Posts : 331
Rep Power : 261213
Likes Received
90
Likes Given
1
 
Ni vizuri kupata uwelewa mpana kabla ya kujiunga na kitu chochote. Inaelekea hata kanuni za JF hujawahi kuzisoma wewe.

Join Date : 31st January 2014
Posts : 331
Rep Power : 261213
Likes Received
90
Likes Given
1

Amejiunga kutetea ungese, soma sredi zake halafu changanya na zako.
 
Mzee unajua kusoma nakuandika?!

Kwenye rangi ya blue

Ndugu msomi, kumradhi kwa kukukwaza ila hukunielewa kwa nini nimeuliza muda.

Sasa iko hivi, mimi natumia simu isiyo na uwezo wa kufungua hiyo picha husika iliyobandikwa kama tangazo. Kwa maana hiyo basi kama msomi uliyebobea na kuzama ktk elimu naomba uniwie radhi.

Kwenye rangi nyekundu

Ndugu msomi hapo hata mimi sijui labda wenye upeo wa uandishi zaidi yetu watatusaidia

Asante.
 
Kusoma sawa hujui, ina maana hata hiyo picha umeshindwa kuiona kweli?!

Mkuu, heshima yako bana. Yawezekana kweli kusoma sijui hata picha yawezekana sikuiona na sijaiona pia. Hii inatokana na uwezo wa simu yangu kuwa mdogo ktk kufungua baadhi ya attachment kama pdf, jpg, png, jpeg, nk nk nk. Kwa hiyo niwie radhi kwa mapungufu ya simu yangu na kama hutojali baada ya maelezo haya nadhani uko tayari kunijibu nilichokiuliza.
 
Back
Top Bottom