Maxence Melo ndani ya Kikaangoni LIVE EATV

Maxence Melo ndani ya Kikaangoni LIVE EATV

Shughuli ishaanza.


10003329_869757643038655_1301445594_n.png
 
Huyu jamaa ana busara sana, eti mtu anamuuliza;
SWALI
Eti mtu mjanja anakuaje? Anakua na sifa zipi?
JIBU LA MELO
kwa kuwa mimi si mjanja (sijui kama naonekana mjanja mbele za watu) basi nashindwa kukupa jibu muafaka.
 
Hiki ndicho kilichopo kwenye tovuti ya EATV.
Mwanzilishi mwenza wa Jamii Forums, Maxence Melo, ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Jamii Media leo hii ameweza kuingia Kikaangoni Live ya Facebook EATV.

Zoezi hili limetoa fursa kwa umati mkubwa watumiaji wazuri wa tovuti ya Jamii Forums kufahamu mambo mhuhimu ikiwepo sababu ya kuanzishwa kwa Jamii forums? Faida na hasara zake ni zipi, na pia Maisha yake ikiwepo burudani anazopenda.

Tulipata fursa ya kuhojiana na Maxence Melo baada ya zoezi hilo na kuzungumza naye ambapo amesema amefurahi kushiriki Kikaangoni na amegusia swala la wasanii na mitandao ya Jamii na kusema kuwa wana nafasi kubwa kwao kutumia mitandao hii 'kuji-brand' ambapo yeye na timu yake wanawakaribisha wote kwaajili ya kuwasaidia kutumia mitandao hii ipasavyo bila gharama yoyote.
 
Back
Top Bottom