Ndio zetu hizi za kuangalia picha na heading bila kuangalia content kama huyo mdau alieuliza muda
Maoni yako na ushauri (kama umetoa) nayapokea kwa mikono miwili. Asante.
Ndio zetu hizi za kuangalia picha na heading bila kuangalia content kama huyo mdau alieuliza muda
Ndio zetu hizi za kuangalia picha na heading bila kuangalia content kama huyo mdau alieuliza muda
Melo ndo nani,tunaomba kujuzwa.wekeni CV
Melo ni yule mchezaji wa Brazil anachezea Galatasaray ya Uturuki
Kumbe huyo ndo mwanzilishi mwenza wa JF mi nilifikiri ni Ritz
Vizuri mkuu, pole nimekusoma kumbe tatizo ni simu kufungua attacment, anyway ni kuanzia saa 6 mchana tarehe 26 March 2014 siku ya Jumatano.Maoni yako na ushauri (kama umetoa) nayapokea kwa mikono miwili. Asante.
Vizuri mkuu, pole nimekusoma kumbe tatizo ni simu kufungua attacment, anyway ni kuanzia saa 6 mchana tarehe 26 March 2014 siku ya Jumatano.
Mkuu, heshima yako bana. Yawezekana kweli kusoma sijui hata picha yawezekana sikuiona na sijaiona pia. Hii inatokana na uwezo wa simu yangu kuwa mdogo ktk kufungua baadhi ya attachment kama pdf, jpg, png, jpeg, nk nk nk. Kwa hiyo niwie radhi kwa mapungufu ya simu yangu na kama hutojali baada ya maelezo haya nadhani uko tayari kunijibu nilichokiuliza.
Haya maswali inabidi ukawaulize hao mwana ambao wanatumia jukwa lao kukashifu jf na wamiliki wake.hapa je?
hahahaaaaaaa JF rahaa sana lol
Naomba radhi kwa hilo ndugu Skype, maelezo ya mwanzisha thread hayakuwa na muda isipokuwa attachment ndio ilikuwa na muda kitu ambacho kilinifanya nihukumu moja kwa moja.
Nimejipima na nimeona nimekukosea kitu ambacho si kawaida yangu.
Tafadhali naomba tusameheane kwa sababu hizi ni social network inatakiwa tuelimishane, tujifunze, tuhabarishane, tuburudike nk na si kukosana kwa namna yeyote.
Natumai utanisamehe kama umenielewa ndugu Skype.
Kuhusu muda attachment imeandikwa
Ni jumatano hii
tr 26-3-2014
saa 6 mchana.
Usijali ndugu yangu, tuko pamoja na ndiyo maana nilipoona jibu lako sikuhamaki ghafla ila niliamini huenda umekoment kwa kuamini hata mimi ntakua natumia kifaa chenye uwezo mkubwa. Vinginevyo nikushukuru kwa kunijibu sasa nilichouliza hapo awali. Nikutakie siku njema.
unajua mida mingine watu hawaweki details za kutosha,baadae ndo mleta mada anakuja kuongeza nyama.kwa hiyo unakuta swali ni relevant kwa mda ule