Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Ashukuriwe Mwenyezi Mungu muweza wa yote, tunazidi kuwaombea kwa Mungu.
Thank you God it was horrible, pole Mpwa wangu
Umekosea.....hawasemi hivyo.....waikora waitu.
zanzibar huru kwa kweli umenifanya niwe curious na theory (ies) yako. Hebu jaribu tuone?Sisi ambao tuko kambi ya conspiracy theory tuna yetu ya kusema, je ruksa?