Hakika MUNGU wetu aliye mweza wa yote yu pamoja nasi!
Tuna kila sababu ya kurudishia Mungu wetu sifa yake ya kipekee! Sisi kama Mi na wewe tuna mtazamo wa hapa tu ila tuna mwenye maisha yetu ambaye anauweza wa kusema mwisho wetu kabla ya mwanzo.
Kila jambo na majira yake ya Ndg ya Maxence Melo na mna kila sababu ya kipekee kabisa ya kulitaja jina lake Daima!
Tupo pamoja mwanzo mwisho hata hata siku ya kutoa shukrani madhabahuni mwake Bwana nakuomba usitutenge!
Pole sana,na japo kwenye huu mtandao ni sehemu ambayo Mungu anatukanwa na kukanwa karibia kila siku.ni ajabu bado mtu anaweza kuwa na uwezo wa kuweka hapa post kama ulivyofanya,kweli neema za Mungu zimetapakaa kila mahala.sifa kwa Mungu baba na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
Kutaja jina la Mungu yatosha Max. Tutaendelea kuomba pamoja nawe uvimbe wako upone haraka uendelee na kazi ya kujenga taifa letu. Uvimbe huo ukipona naamini na kichwa kinachouma kitaacha kuuma. Naomba Mungu aendelee kukupigania katika hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.