FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,872
- 109,169
ulitaka niitwe faizafoxy,jina kama la kigagula??
Sasa kesi vipi? wanaruhusu kusafiri ukiwa na kesi kama hiyo? nataka kukualika.
ulitaka niitwe faizafoxy,jina kama la kigagula??
Sasa kesi vipi? wanaruhusu kusafiri ukiwa na kesi kama hiyo? nataka kukualika.
Yuko wapi mchungaji wetu Max? Siku nyingi sijamuona jamvini. Tunamiss baraka zako baba mchungaji. Ni kati ya member wa jukwaa la dini mwenye uwelewa mkubwa wa dini zote 2 (islam and xstian).
Mwenye contact zake mwambie kondoo wake wana mwihitaji.
Huyu Bw. Max Shimba ukitaka kumpata mtafute Mashada Forum - Kenya.
Ana kesi ya utapeli USA, na ilisha ripotiwa na links zikawekwa hapa JF.
Muse A muse , Jew , ni moja kati ya ids zake nyingi anazotumia... humu
Wakulu:
Msiwe na wasiwasi, hata Yesu tunaye mfuata alihukumiwa kwa mambo ya uongo.
I am fine na kazi inafanywa kama kawaida. Nimepata bahati ya kumwaga injili kule kwa Ahamadinajad, na wengi wanampokea Yesu.
Be blessed
Maxshimba @ NYC
Mkuu, Yesu wetu yupo hai, na ushindi tunao, na tunaendelea kushinda. Hiyo ndio raha ya kuwa na Yesu Kristo aliye hai.ubarikiwe bwana awe nawe.
Wakulu:
Msiwe na wasiwasi, hata Yesu tunaye mfuata alihukumiwa kwa mambo ya uongo.
I am fine na kazi inafanywa kama kawaida. Nimepata bahati ya kumwaga injili kule kwa Ahamadinajad, na wengi wanampokea Yesu.
Be blessed
Maxshimba @ NYC
Ukiishi NYC na unafanya kazi Wall Street, kesi si jambo la ajabu. Labda unaishi dunia ya kule kat na/au unafanya zile kazi za 9 to 5. As long as una-endorse checks, well, things happens. Anyways, only low self esteemed morans will have time to discuss intelligent people. I am proud of it.
Wall street? cleaning loos?