Max Melo kajitolea kutulinda, sisi tumeshindwa kumlinda, lakini vifungu hivi vinawapa nguvu polisi

Mlamba viatu wa Lowassa wewe uko upande gani? Maana wewe siyo CCM wala CHADEMA, Lowassa akisema leo yuko ACT Wazalendo utawaona CHADEMA kama mavi ya asubuhi
Toka asubuhi nakuona unavyoitafuta kwa nguvu. Naona leo zimekimbilia huko nyuma.
 
Kwa sasa napendekeza mods wawe na kibarua mara mbili. Kwanza wahakikishe wanafanya mchujo wa kutosha wa mada zinazowekwa majukwaani. Pili waanza kunyofoa zile hoja tata toka humu jf. Aidha wazidelete kabisa au wazifanyie back up mahali fulani salama zaidi. Nasi wanachama tuchunge na kuchuja tunayopost
 
Hivi yulemwandishii alieuliza swailiitataaa Kyle alisema anatokeawapiivilee
 
Wanaccm wote uchwara hamna uchungu wowote na jf , mnaombea ifungwe leo au kesho asubuhi , mleta uzi sijawahi kukuamini na sitakuamini milele .

Mara zote tumekuwa tukipinga , tena kwa hoja nzito hizi sheria kandamizi zinazopitishwa kwa hii style ya wanaosema ndiooooooo , wewe ni mmoja wa wadau wanaounga mkono chochote kinacholetwa na serikali .

What goes around comes around .
 
Yeye kaka kiongozi nadhani ni wajibu wake kuwa protect watu wake na naamini kutoa details haiwezekani hata kidogo.....hilo me naamini na always nita sticky hapo tu kwamba haiwekani yeye kutoa details....hizo details wenyewe haziwahusu kwanzaa....na kisheria hawaruhusiwa kupata details kirahisi hivyo lazima sheria zifuatwe
 
Wanaccm wote uchwara hamna uchungu wowote na jf , mnaombea ifungwe leo au kesho asubuhi , mleta uzi sijawahi kukuamini na sitakuamini milele .

Mara zote tumekuwa tukipinga , tena kwa hoja nzito hizi sheria kandamizi zinazopitishwa kwa hii style ya wanaosema ndiooooooo , wewe ni mmoja wa wadau wanaounga mkono chochote kinacholetwa na serikali .

What goes around comes around .

CCM/CDM
 
Tatizo wengi wetu tunapenda kuonekana imara sana,wajuaji sana ususani vijana wa ufipa ukweli mnaufahamu ila mmekuwa tatizo tu ili muonekane wajuaji,sasa kipi ambacho hakijaeleweka kwenye bandiko hapo juu? Mmeishiwa hoja mmeanza kuleta lawama,jifunzeni badilikeni hoja za uchochezi hazitajenga taifa letu.
 
Wanaccm wote uchwara hamna uchungu wowote na jf , mnaombea ifungwe leo au kesho asubuhi , mleta uzi sijawahi kukuamini na sitakuamini milele .

Mara zote tumekuwa tukipinga , tena kwa hoja nzito hizi sheria kandamizi zinazopitishwa kwa hii style ya wanaosema ndiooooooo , wewe ni mmoja wa wadau wanaounga mkono chochote kinacholetwa na serikali .

What goes around comes around .
sihitaji kuaminiwa nawewe....
 
Hii nchi yaenda kibabe now we need justice 4 Melo coz now katiba iko vchwani mwa watu wa chache wanajeshi hawana vyama bt now wamejaa ndo wakuu wa mikoa how comes Tz
 
acha zako,kwanin ulikuwa hukumbushi siku zote na iyo sheria ulikaa nayo wew ndani kwako.embu acha tuongee na kujua tunakabili vp hii hali kwa sasa,usilete vitu unavofanya kuvijua mkuu
 
SHERIA MPYA KUWA KTK LUGHA ZA KIINGEREZA, NI UPUNGUFU WA AKILI KICHWANI!!!! NA WATU WANAJIITA NCHI HURU!!!
 
muswada gani?
mkuu umesha sahau kauli hizo mara hii? kabla ya kuwa sheria ulikuwa mswada, huyo unaye muuliza anajaribu kukumbusha mbwembwe za watawala huku ninyi mkiimba mapambio ya kutukuza kila content ya sheria hizo. After all you don't need to worry, kwani upo upande wao, amini amini upo salama kuliko maelezo!............
 
Ile z
Tatizo wengi wetu tunapenda kuonekana imara sana,wajuaji sana ususani vijana wa ufipa ukweli mnaufahamu ila mmekuwa tatizo tu ili muonekane wajuaji,sasa kipi ambacho hakijaeleweka kwenye bandiko hapo juu? Mmeishiwa hoja mmeanza kuleta lawama,jifunzeni badilikeni hoja za uchochezi hazitajenga taifa letu.
Ila zile hoja kutoka Lumumba za kusifu na kuabudu watawala ndio zitajenga nchi sio?!
 
Back
Top Bottom