Sio anaingia mwenyewe ni ile mke wa kaka yao kujipendekeza kwao na kuona furaha anamkaribisha chumbani ili aone anavyotunza nyumba na usafi na mpangilio ni katika kujiweka karibu na kuonyesha upendo wa dhati kwa ndugu wa mume ,ila nalo hilo si ajabu likajenga shari ...umekiona chumba mavumbi kila kona sijui kaka anaishi vipi mle ndani ndio maana kila siku ana mafua.., Yaani we wacha tu , sasa najifanya na mimi hamnazo ,huwa na cheka na kuwaponda wote wawili ....wanawake ndivyo mlivyo.... ,basi akiondoka wifi inakuwa balaa jingine ,mke anaanza yake .....naona unamsapoti yule dadako ... ,inakuwa hata huelewi ni suali au ni mazungumzo.Duuh dada mtu anaingiaje chumba cha kaka yake na mkewe?😳😳 ajabu hii na uswahili kiwango cha lami
Yaan nasemaje? Mimi ndo mama msaidizi, sina dhiki ila upendo wangu na wadogo zangu kima ajitokeze atajua vyema. Nami nikaenda miji ya watu nitakua na adabu hivyo2. Wanataka tuwapende kina nani kama sio uzao wa mama zetu.Kuna wengine wanatenganisha familia kwakuwa na wivu wa kupitiliza na hawako tayari ndugu wapate mapenzi ya mumewe hata kama alikuwa anajua waliyapata!
Kuna wengine wanakwenda kwenye ndoa kwa lengo la kuwakomoa ndugu kwa hiyo hapo panakuwa hapatoshi!
Umefanya nimkumbukuke wifi yangu anayetimiza miaka 5 leo tangu atutoke ghafla, alikuwa ni zaidi ya wifi yangu, kaka yangu alikuwa kama ndiye shemeji, ila upande wangu duu balaaNampenda sana wifi yangu mke wa kaka yangu. She is my best friend.
Kwa kweli hata sielewi, kwenye hili wanawake tunahitaji maombihivi kwani shida huwa ni nini?🤔
duh pole sanaUmefanya nimkumbukuke wifi yangu anayetimiza miaka 5 leo tangu atutoke ghafla, alikuwa ni zaidi ya wifi yangu, kaka yangu alikuwa kama ndiye shemeji, ila upande wangu duu balaa
Kijana akioa kuna vitu huwa vinapungua hata kama hajashauriwa na mtu inakuwa automatically labda kama hajampenda kutoka moyoni.Yaan nasemaje? Mimi ndo mama msaidizi, sina dhiki ila upendo wangu na wadogo zangu kima ajitokeze atajua vyema. Nami nikaenda miji ya watu nitakua na adabu hivyo2. Wanataka tuwapende kina nani kama sio uzao wa mama zetu.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Asante sana mpendwaKwa kweli hata sielewi, kwenye hili wanawake tunahitaji maombi
duh pole sana
Boxer ya kaka iliotoboka toboka kama chujio la nazi duu , uswahili huo! Hao wanaweza kuwa hata wote wanamirupo na inakuwa siri yao.Wapo ndugu yangu! Yaani hadi unajiuliza hawa watu,mbona wanakua hivi?? Dada mtu,anajua hadi boxer za kaka yake
Hapo ndipo tatizo huwa linaanzia, wadada hutaka kaka aanze na wao, na hicho kitu hakiwezekani labda kwa mwanaume asiyejielewa mbulula wa malezi, nenda hata kwenye kufungishwa ndoa hawaambiwi uanaze na familia ya kwenu ila unaanza kwa mke/Mme .Dada wa wanaume wanasahau kuwa mwanaume akishaoa wao si kipaumbele tena, kipaumbele na jukumu lake ni kuhusu mkewe.
Wao inabaki kuwa msaada na msaada si lazima.
Sisi tunaingelea mambo ya familia mkuu. Wanasema ukienda Roma jifunze kuabudu kama wanavyoabudu. Mengine ni kuleta mashindano yasiyo na tijaKijana akioa kuna vitu huwa vinapungua hata kama hajashauriwa na mtu inakuwa automatically labda kama hajampenda kutoka moyoni.
Mashindano na ndugu wa Mme?Sisi tunaingelea mambo ya familia mkuu. Wanasema ukienda Roma jifunze kuabudu kama wanavyoabudu. Mengine ni kuleta mashindano yasiyo na tija
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ukiona hivi ujue huyo ni limbukeni au mswahili, lakini anayejielewa hafanyi hivyo