Fletcher
Member
- Dec 27, 2013
- 99
- 32
Mi ni mwanaume......ni mkristo yaani lutheran. Nimetokea kumpenda binti mmoja wa dhehebu nyingine ambayo ni jehovas witness, siwezi kumuoa hadi tuwe dini moja na yeye hawezi hama maana anaamini dini yake ndo wanamjua Mungu na ni ya ukweli. Mm nimempenda kupitiliza yaani nimeamua kuhama dini ili tu niwe nae, ttzo wazazi wangu hasa baba yangu mzazi, mm ndo ndugu yake na nitegemeo lake na yeye ni mdini kweli! Hataweza kunikubalia nihame dhehebu. Na mm nampenda kweli baba yangu
Naombeni ushauri wenu ndugu zanguni
Naombeni ushauri wenu ndugu zanguni