Fletcher
Member
- Dec 27, 2013
- 99
- 32
- Thread starter
- #41
Hakuna swala gumu in Love kama advce ya dini, kwn that hakuna atakae kuadvce wthout sayng we ndio mwenye maamuz. Then hapo kuna v2 vwili mapenz and iman ya dini
MASWALI..
1. Unataka kuchange dini coz ya mwanamke unampenda, huwez kumkosa and unataka kumuoa?
2. Unataka kuchange dini kwa hofu ya mungu, and kujua usahihi uko wapi ili umuhamuda mungu in postve way?
NOTE:
Dini kama culture, m2 anakua nayo kujfunza na kujua ndio iman inapojaa, sasa ww iman ya ukubwan kwenye dini za wa2, kisa mapenz takea kaka.
Then mapenz yana mwsho, cz hamuwez fka 200years, kuna kufa, kuachana, what abt Mungu ambae ataishi milele, thnk twce.
Huyu mschana kanibia nichange dini.....lkn yeye ameinsist kwamba nijifunze na nisadiki nitakayo fundishwa kama nitaamini......nitafikiria hilo bro. Mimi nnachoamini Mungu ni mmoja na dini ameleta mzungu tu