Mawaziri waghushi vyeti


....duuuhh....wewe inaelekea una mataizo makubwa sana...hata kusoma ni mvivu....duuhh!!......haya hebu angalia hapa Mwl Kichuguu alivyokujibu........

 

Future-Tanzania kama umesomea chuo chenye hadhi na kina "quality" kama unavyodai...nina wasiwasi kama uliipata hiyo quality! By the way kuna watu wamemaliza UDSM miaka ya karibuni na wanafundisha kwenye vyuo unavyovitaja kuwa na "quality". Nakutakia wiki njema!
 
Wakuu,

Naona kama tunashabikia kuadhirika kwa mtu, badala ya kushabikia mafanikio yake. Kumuuliza mtu kwa nini anatafuta PhD ya pili hakusaidii kujenga hoja iliyokusudiwa awali, ambayo ni ile ya uhalali wa PhD ya kwanza. Kwani kikomo cha mtu kujielimisha ni PhD moja tu? Hapa marekani, nimekutana na kibibi cha miaka 90 ana PhD ya sheria na pia nyingine katika fani ya udaktari wa kutibu.

Chuo Kikuu cha Mzumbe ni chuo kinachotambulika (accredited), lakini imeshagundulika kuwa wengi wa wahadhiri (lecturers) chuoni hapo nao wana hizo PhD za kutoka vyuo hivyo hivyo vinavyotiliwa mashaka. Sasa kama mambo ni hayo, inakuwaje wanafunzi wanaopata shahada za hapo watambuliwe kwa sababu tu hicho chuo ni accredited?

Tukitaka hali ya elimu iwe juu, tusitambue vyuo kwa majina tu, ni lazima tuchambue na elimu yenyewe itolewayo hapo. Sio chuo tu mtu alichokwenda, bali la muhimu zaidi ni kuwa ametoka na nini hapo?

Kuna jamaa zetu wengine wametoka Yale, Havard na Oxford, lakini huku nje wanapwaya vibaya sana. Vile vile tunao wanaotoka UDSM, SUA na Mzumbe, utafikiri mitihani huko walifanyiwa.

Tusiwe wepesi wa kuzomea, tuwe makini wa kuchambua uchambuzi yakinifu.
 
Sasa, kama TCU imesha-void hizi PhD feki za hawa waheshimiwa, then why does the public (and the Government in particular - both Parliament and Executive) still refer to them as Dr 's? Why do we still call this Kamala fellow Dr. Kamala or Mr. Nchimbi as Dr. Nchimbi?

Swali lingine ambalo ningependa tuwaulize Nchimbi na Kamala ni kwamba thesis za PhD zao zilihusu topics gani? What was the subject of their research and where or how can we get their PhD thesis reports and when did they present their reports and who (lecturer) supervised their respective research?
 

Janejo,

HAVE I SAID ANYWHERE UKIENDA UDSM HUWEZI KUPATA KAZI? au nilisema teaching quality ya vyuo vya TZ inadidimia? I asked a very good question and nobody had a ball to say I am wrong, the question was 'UDSM watu wangapi wanapata nigree kwaajili ya kulala na lectures au ni mtoto wa fulani?' Answer me that then tell me I talk rubbish. That is a FACT OF LIFE Tanzania and it is not fair to those poor kids who work hard everyday and cant get to university kwasababu universities nafasi zimejanzwa na mafuka na Watoto wa Fulani.

Please read what are my arguments regarding PhD then you will understand.

Have good day too..
 

Thax that is what i ask myself. kwanini watu wanacare about who is Dr or not!


Pia sielewi kwanini watu wanakasirika kwamba New Zealand hawatambui degree ya Tanzania! Just like Tanzania kila inchi wana haki ya kutambua or not degree from a certain universities and countries. Good example medical degree ya Somalia haitambuliki sehemu yoyote duniani! Is that big deal? No. kama unafatilia immigration rules za nchi nyingi then utajua kwamba at the moment Australia na New Zealand ndio wanaongoza kuwa strict about immigration both for skilled and non-skilled immigrants na sasa hivi UK na nchi nyingine wanageza system ya Australia and New-Zealand maana they are so effectively.

From beginning I said clearly, PhD isn’t like a ticket to good life. Education is not Civilization but it is knowledge. So people have to study because they want to ila sio kwa heshima za kipuuzi za watanzania. Kama watanzania hatutaanza kufungua macho na kuacha akili potofu kwamba kama mtu ana PhD then haeshimiwe then maendeleo hatutapata leo wala kesho. Ndio maana tunaendelea kudanganywa na watu wengi tuu maana tunaluck good business cultures kwa kuamini everything people with PhD says.. let start be argumentative and questionable.. that is a way forward.

Kweli we have a long way to go
 


Rather you have a long way to go. I am tempted to believe that you went to New Zealand to do casual labour, not to study, otherwise you wouldnt be saying the things you are saying. Nimesoma UDSM na nafahamu some of my colleagues who have excelled throughout the world. Ukienda kwenye standing ya Universities, UDSM is still the best university in East Africa. Wewe unayedai kusoma vyuo bora, tena kutoka nchi ambayo Kiingereza ni first language bado una matatizo ya kujieleza!!!! pole ndugu yangu.

Back to the topic, PhD is a respectable award, hawa akina Kamala wasitudanganye. Huwezi kupata PhD kwa kusoma kwa miezi mitatu let alone chini ya miaka mitatu. Ukimaliza phD unatarajiwa uwe master katika eneo ulilosomea. Muulize Kamala au Nchimbi au Mary Nagu wanamaster kitu gani.
 

Some people are so shallow minded! UDSM being a leading university in East Africa doesn’t mean every country has to accept it and put on their list! For your information I am not in New-Zealand. So what you are talking is non-sense and as I said earlier, I don’t have to explain myself who I am and what I do! So it is up to you to keep assuming (well if you have time to waste)

Also, Would you please do a bit of reading with respect to the path to PhD studies. As it seems you know very little knowledge about this and yet you comment based on the garbage you have been feed up on the street! Maybe let me be kind and make it easier for you ‘It is not necessary to have masters degree to do PhD’.

PhD is a research degree. If you have done well in your bachelor degree and you can verify that you are really good in a university that offer PhD you may be eligible to apply for PhD course, especial if you have a thesis topic already.. or Possible you want to carry forward research based on your bachelor degree dissertation title etc or you have professional expertise on the topic and you want to prove something!

Anyway wanaJF, I think I won’t bother to discuss this topic again! It is a wasting of time and energy for nothing.
 

Ninapata tabu sana kuamini kama umemaliza chuo kikuu kwa jinsi unavyojieleza. Kama umemaliza UDSM, halafu hivi ndivyo unavyojieleza, basi ni sahihi kabisa kwa degree ya UDSM kutotambulika duniani.
 
Ninapata tabu sana kuamini kama umemaliza chuo kikuu kwa jinsi unavyojieleza. Kama umemaliza UDSM, halafu hivi ndivyo unavyojieleza, basi ni sahihi kabisa kwa degree ya UDSM kutotambulika duniani.

Uwezo wa kujieleza hauna uhusiano wa moja kwa moja na elimu aliyonayo mtu.
 
Uwezo wa kujieleza hauna uhusiano wa moja kwa moja na elimu aliyonayo mtu.

..NN, sasa mitihani utajibu vipi kama huwezi kujieleza. Hata kwa wanaofanya mitihani ya hisabati, ni lazima uwe na logic wakati wa kukokotoa. Sasa huyu mwenzetu inaonekana ana tatizo kubwa sana; hilo la vyuo vya kitanzania kutokutambuliwa duniani (or for that case New zealand--which by the way is totally wrong) ni dogo sana kwake. Nimesoma kwa makini mabandiko yake. Nina wasiwasi na ninapata taabu sana kuamini kwamba huyu mwenzetu amepitia elimu ya chuo kikuu. Fuatilia vizuri mabandiko yake utaelewa ninamaanisha nini
 

Mtihani unakuwa unajibu maswali. Unless ni oral exam lakini kama unajibu maswali kwa kuandika, mara nyingi kinachoangaliwa ni kama umepatia majibu kwa angalau kugusia pointi muhimu za maswali uliyoulizwa.

Hata kwenye utetezi wa PhD. unaweza kwa kiasi kikubwa kukariri pointi muhimu za utafiti wako na ukienda kufanya utetezi nafasi ya kutetea kwa mafanikio ni kubwa unless jopo la wasimamizi wako wakurushie maswali ya curveball kibao
 
Ninapata tabu sana kuamini kama umemaliza chuo kikuu kwa jinsi unavyojieleza. Kama umemaliza UDSM, halafu hivi ndivyo unavyojieleza, basi ni sahihi kabisa kwa degree ya UDSM kutotambulika duniani.


Haa… Tabu kuelewa? Why? Because I use both English and Swahili on my comments and I do spell Swahili wrong? Well isn’t my fault now days there are spelling check in MS-words….

By the way Mwanamalundi, I never asked you or anyone else to believe in me! What has this topic have to do with my education and background? This is typical what I said earlier people can’t differentiate between education and civilization. To most Tanzanians education is civilization! Good luck for you who you know how to spell and explain yourself.. You never know i might be mathematician I talk with numbers!

To be honest I really can’t be like some people here trying to boss around and showing off by saying who they are etc. so believe in what you want. everyone has freedom of speech.
 
aisee huyu jamaa ananikumbusha "NUNGWI" kweli kweli
 
I'm the new user of this interactive network community. Therefore i'm really impressed by this Tanzanians network operating around the global🙂 I then believe that the world is becoming smaller and smaller as the 88 square meters of my house.

I'm miss X residing in Copenhagen Denamrk. I enjoy much listening the so called Taarabu Music, Bongoflava and as well as Zilipendwa from this creative network (Jamii Forums).
A big hug to the administrators of the jambo forums
 
Waandishi wetu wanaandika kuwa PhD za hawa waheshimiwa zina mashaka lakini hapo hapo wanawaita DR.Kamala au DR.Nchimbi.

Lakini serikali inabidi kuchukua hatua juu ya hawa waheshimiwa kwani wanaweza kupotosha umma.

Kamala kusema anachukua PhD nyingine Mzumbe ni kichekesho kwani Mzumbe University inashutumiwa na TUC kuwa na wataalam wenye PhD feki na hadi VC wao aliyepita Bwana Warioba ameripotiwa na professor Mayunga kuwa alikuwa Phd feki akiwa na wahadhiri wengine saba.Kamala kafanya diploma yake Mzumbe kwanini aende hapo hapo kwenye mashaka?kwanini asiende Udsm kufanya PhD yake? kuna mbunge Pinda Chana nae nasikia ana Phd toka Mzumbe University.
matokeo ya vijana waliosoma Mzumbe kama kina Nungwi ni Fisrt Class au upper second aghalabu sana kuona pass au lower second toka Mzumbe kuna mushkeli Chuoni hapo.
 
Huya Kamala majibu yake yanaonekana si ya mtu mwenye PhD. kwa kawaida huwezi kuwa na PhD mbili. kama tayary una Doctor of Philosopy na bado unahitaji kupiga shule una fanya kitu kinaitwa Post- doctoral studies
 
Hawa jamaa walitakiwa wafunguliwe mashitaka kwa kujipatia ajira kwa udanganyifu na shahidi wa prosecution akiwa Vice Chancellor wao Prof. Kuzilwa aliyetuthibitishia kwa kutamka pale maelezo kuwa kuna waalimu wao ambao shahada zao zimeonekana kutojitosheleza na wanasomeshwa upya!! Je hawa jamaa hawapaswi kurejesha sehemu ya mishahara waliokwisha lipwa bila kustahili? Chuo cha Mzumbe kiliaangalie hili; Inabidi wote waliogundulika kuwa ni vilaza Taasisi ya Prof. Nkunya iwaamuru rasmi kuwa wasitumie hizi intials za "DR" mbele ya majina yao kwani wanadhalilisha taaluma za watu!!
 
Sasa Kikwete atatambua quality ya mawaziri waliomzunguka na kumpa ushauri!! Aliishaambiwa kuwa hao wanamtandao wako vilaza na vihiyo hakusikia sasa Rais mzima anaaibishwa lakini kwa vile jeuri atasema " KELELE ZA MLANGO HIZO HAZIMKOSESHI USINGIZI MKWERE AKIWA MSOGA"!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…