Chama cha mapinduzi kitatumia mbinu ya kujijengea imani kwa wananchi kwa kuwatumia mawaziri watendaji kazi wasio na kashfa kama akina Magufuli ili kupangua hoja za CHADEMA katika harakati za Movement for Changes.Magufuli atapata fursa ya kuelezea jinsi gani serikali ya CCM ilivyofanikiwa kuboresha miundombinu.Vilevile atakuwepo waziri Steven Wassira kuelezea mafanikio ya CCM katika kukua kwa uchumi.
Hata magwanda ya khaki tunawakaribisha kesho hapo Jangwani, njooni msikilize ukweli ulivyo sio mnakaa kudanganya watu mtawapa simenti za bure.
iyo kaki imeongozeka lini??