Anza kuhama kwani umeshakosa Hadi wakati huu🏃🏃🏃Nikikosa uteuzi safari hii nahama chama.
Kumbuka waziri ni mbunge kwa hiyo hawezi kuwa kama mwananchi wa kawaidaHii ndio taarifa mpya iliyotolewa na Gazeti bomba la Raia Mwema .
Kwamba Muda mfupi ujao baadhi ya Waheshimiwa Mawaziri wanaweza kuwa Raia wa kawaida kama tulivyo sisi wengine , hasa baada ya nafasi zao kujazwa na Wazalendo wengine .
Usiondoke JF .
Mchengerwa ni mkwe hagusiki.Wenye kujua yaliyofichika. Naomba kujua ikiwa
Bashungwa
Ndalichako
Wataendelea kusalia kwenye nafasi zao? Vipi Mchengerwa?
Najua January hagusiki.
Kwanini hao wabakishwe ?Pangueni wote ila Waziri wa Fedha na Waziri wa Nishati wabakishwe huko huko..
Ondoa Waziri wa Ardhi,Viwanda na Biashara, Waziri wa Mazingira,Ondoa yule Madini abadilishiwe kituo nk
Anapelekwa TamisemiMchengerwa ni mkwe hagusiki.
Haya basi wasitenguliweNingeomba tuanzishe hoja ndani ya hoja.
Ni kwanini watanganyika mnafurahia utenguzi? Mnadhani benefits wanazopata, wakitenguliwa sitakuja kwako? Kwanini hii roho ya kichawi ndani kwetu?
Unakumbuka muda wa ndoto?Nimeota Luhaga Mpina kateuliwa uwaziri
Pangueni wote ila Waziri wa Fedha na Waziri wa Nishati wabakishwe huko huko..
Ondoa Waziri wa Ardhi,Viwanda na Biashara, Waziri wa Mazingira,Ondoa yule Madini abadilishiwe kituo nk
Najua umeajiriwa na yule jamaa wa Uchumi wa tozo, kibarua kisijeota nyasi.Pangueni wote ila Waziri wa Fedha na Waziri wa Nishati wabakishwe huko huko..
Ondoa Waziri wa Ardhi,Viwanda na Biashara, Waziri wa Mazingira,Ondoa yule Madini abadilishiwe kituo nk
Unataka turudie kuanza kupima samaki kwa rula ?Nimeota Luhaga Mpina kateuliwa uwaziri
Huyu hadi mzee baba wa chalinze 'aridhie'Najua January hagusiki.
Mchengerwa si wa mama? Ye atabaki.Wenye kujua yaliyofichika. Naomba kujua ikiwa
Bashungwa
Ndalichako
Wataendelea kusalia kwenye nafasi zao? Vipi Mchengerwa?
Najua January hagusiki.
Huyu mama hayaruhusu sana yale ya mambo ya mwenzake tqarifa kuvuja...Raia Mwema walichofanya ni guessing kwa rejea ya Manadiliko ya Wakuu wa mikoa, RAS na DAS'sHii ndio taarifa mpya iliyotolewa na Gazeti bomba la Raia Mwema .
Kwamba Muda mfupi ujao baadhi ya Waheshimiwa Mawaziri wanaweza kuwa Raia wa kawaida kama tulivyo sisi wengine , hasa baada ya nafasi zao kujazwa na Wazalendo wengine .
Usiondoke JF .
Kuna huyu anayetetea vifurushi kupanda badala ya kuangalia namna ya kutatua changamotoHii ndio taarifa mpya iliyotolewa na Gazeti bomba la Raia Mwema .
Kwamba Muda mfupi ujao baadhi ya Waheshimiwa Mawaziri wanaweza kuwa Raia wa kawaida kama tulivyo sisi wengine , hasa baada ya nafasi zao kujazwa na Wazalendo wengine .
Usiondoke JF .
Hapo unamaanisha katiba irekebishwe kwanza?Mama ikiwezekana avunje tu baraza lote la mawaziri na atangaze tu hizo nafasi za kazi watanzania wengine wajitolee wasio wabunge tuwe masela tu kutoka huku mtaani, ila Wizara ya Fedha na Nishati mimi ndio niwe Waziri.
Taarifa zinavuja, Ila wenye nazo wana.maslahi kwa sasa. Wakiguswa utazionaHuyu mama hayaruhusu sana yale ya mambo ya mwenzake tqarifa kuvuja...Raia Mwema walichofanya ni guessing kwa rejea ya Manadiliko ya Wakuu wa mikoa, RAS na DAS's