Bugucha
JF-Expert Member
- Jan 3, 2020
- 3,566
- 14,624
Hakuna waziri mpya atakaye ingia hapo,yaani mawaziri enzi za Kikwete ndio watarudi.Mama ikiwezekana avunje tu baraza lote la mawaziri na atangaze tu hizo nafasi za kazi watanzania wengine wajitolee wasio wabunge tuwe masela tu kutoka huku mtaani, ila Wizara ya Fedha na Nishati mimi ndio niwe Waziri.

