Ni kutoka katika vikao vya ndani ila wanaona kuwa wameonewa wanataka waondolewe kwa njia ya mabadiriko ya baraza la mawaziri kuondoa aibu
Ufunuo! Filikunjombe hawezi toa misaada jimbo zima peke yake, ana kata 24, vijiji 78 na wananchi zaidi ya laki moja na nusu. Kazi anazozifanya anatoa fedha za mboga ya watoto wake. Nadhani ile ni kazi ya serikali, afya, elimu, nk.
Ni kutoka katika vikao vya ndani ila wanaona kuwa wameonewa wanataka waondolewe kwa njia ya mabadiriko ya baraza la mawaziri kuondoa aibu
sioni wa kushikilia wizara hata mmoja ndani ya ccm hata wanaopiga kelele nao wameoza bora na wabunge wa ccm nao wajiuzulu after 50 yrs of independence leo ndo wanaona madudu ya serikali? au ni hasira ya kunyimwa nyongeza ya posho? siku zote waliwazomea chadema leo nao (wamegeuka walokole?) shame on them
Hapo kwenye msaada unamuonea. Msaada ni hiari yake kutoa.deo filikunjombe nilimwona kupitia ITV akitoa msaada wa madawa na mashuka jimboni kwake kuna hali mbaya sana msaada aliotoa hauendani na hadhi yake leo anawabwekea wenzake anapata wapi haki hiyo? aache cheap politics bhana.
Ufunuo! Filikunjombe hawezi toa misaada jimbo zima peke yake, ana kata 24, vijiji 78 na wananchi zaidi ya laki moja na nusu. Kazi anazozifanya anatoa fedha za mboga ya watoto wake. Nadhani ile ni kazi ya serikali, afya, elimu, nk.
Ni kutoka katika vikao vya ndani ila wanaona kuwa wameonewa wanataka waondolewe kwa njia ya mabadiriko ya baraza la mawaziri kuondoa aibu
Mkuu hiyo serikali tuliyoweka madarakani au iliyobaka madaraka inafanya nini eti Mhe Deo atoe misaada!!!!!!!!!!Kazi ya serikali ni kuletea watu maendeleo, inatakiwa iwe chachu ya kuinua uchumi wa watu kwa kuwapa mbinu mpya na misaada mbali mbali!!!!! Watu wanahitaji kusaidiwa kama serikali haiwezi basi ijihudhuru, tuweze kuweka serikali itakayo saidia watu!!!!Kibananhukhu,
..Deo atafute mbinu za kuwawezesha wapiga kura wake waweze kujitegemea na siyo kusubiri misaada toka kwa mbunge.
..kwa kuanzia angewasaidia kupata mafunzo na teknolojia ya kuongeza thamani ya mazao wanayozalisha.