Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Naona kama 2015 ni mbali sana.
Issue siyo mawaziri kujiuzulu au rais kufanya mabadiliko.
Issue ni kuiondoa serikali ya wezi wa mali ya umma.
Kikwete mwenyewe mtuhumiwa mkuu, mnategemea awateue akina nani mbadala?
Unless mtuambie wabunge ndiyo watakao wateua mawaziri
Issue siyo mawaziri kujiuzulu au rais kufanya mabadiliko.
Issue ni kuiondoa serikali ya wezi wa mali ya umma.
Kikwete mwenyewe mtuhumiwa mkuu, mnategemea awateue akina nani mbadala?
Unless mtuambie wabunge ndiyo watakao wateua mawaziri