kwa nyakati tofauti wananchi,wanaharakati,wanasiasa au wabunge wamewataka mawaziri wafuatao kujiuzulu au kuwajibishwa.hebu tujikumbushe orodha ya mawaziri waliofanya blunders na hivyo kutakiwa kujiuzulu.
hawa ni baadhi tu......na blunders walizofanya
NGELEJA(sakata la mgao wa umeme)
NAHODHA(sakata la mauaji arusha,tarime,sumbawanga na ''sumu ya mwakyembe'')
MPONDA(skata la mgomo wa madaktari)
NKYA(sakata la mgomo wa madaktari)
MKULLO(alimpinga zitto juu ya hali ya uchumi nchini,deni la taifa limekuwa,ubadhirifu wa fedha za umma)
MKUCHIKA na MWANRI(ubadhirifu serikali za mitaa)
naomba uongeze au kupunguza orodha hii.je baraza la mawaziri litapona?