Mawaziri 6 sasa mikononi mwa TAKUKURU!

Mawaziri 6 sasa mikononi mwa TAKUKURU!

Joined
Apr 27, 2006
Posts
26,584
Reaction score
10,466
Ni wale walioshutumiwa na CAG...

Wanatakiwa kueleza walikotoa mipesa yao...kisha mahakamani.


Chanzo: Nipashe
Wakuu JF heshima mbele sana,

- Well, kitendo cha Rais kuwabadili mawaziri waliokuwa wakituhumiwa kuhusika na upotevu wa hela za wananchi na ripoti ya CAG, kina maana moja tu kwamba hata na yeye ameridhika kwamba kuna ukweli au FACTS katika tuhuma walizokuwa wakituhumiwa nazo, ninasema great second day kwa Taifa, kwanza ilikuwa kuweka ripoti wazi to the public na kuruhusu mjadala wa public!

- Sasa ifike mahali pa kufanya kweli, yaani Watuhumiwa wote kufikishwa kwenye mkondo wa Sheria, haki itakua imetendeka na sio otherwise, kwanza haki kwao mawaziri maana wanahitaji kuwa wasafi mbele ya public na pili Serikali kulinda heshima yake kwamba sasa ipo serious, ama sivyo kuitoa ripoti ya CAG to the public itakuwa ni kazi ya bure, I mean mawaziri na viongozi wetu wakijua kwamba madhara ya kuiba ni kujiuzulu tu na kuachiwa ukale mihela ya wananchi tutakua tunajenga taifa la kusadikika, na itakuwa kazi kubwa kumpitisha Rais wa CCM 2015!

- MHESHIMIWA RAIS, UBARIKIWE KWA KUSIKILIZA MAONI YA WANANCHI, SASA TWENDE MBELE ZAIDI TUFIKE KWENYE SHERIA NA WOTE WENGINE HAO MAKATIBU NA WAKURUGENZI ULIOSEMA KWENYE HOTUBA YAKO KUWA WANAHUSIKA NA WAO PIA UWE MWENDO WA KUELEKEA KWENYE SHERIA!, NI SHERIA TU NDIO INAWEZA KUTUSAFISHA WOTE, SERIKALI NA MAWAZIRI WALIOACHWA!

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!



William @DSM CITY!
 
Wale mawaziri waliofikishwa mahakamani miaka ya nyuma akina yona na mramba mpaka leo kesi zao ziko mahakamani hawajahukumiwa... hawa wengine wako wengi mno na nina uhakika itachukua miaka 10 mpaka kesi zao kukamilika, tutazidi kupoteza hela za walipa kodi kuendesha hizi kesi alafu mwisho wa siku watapatikana hawana hatia....waste of money and waste of time

Na kuna wengine wako kwenye hizi kashfa na bado ni mawaziri..mheshimiwa hajawatimua wote so hao aliowabakiza tuwafanyeje!!??

Rais wetu kapangua mawaziri, Mkuu wa Polisi nae kapangua safu yake ya makamanda wa polisi...Je Nani atapangua safu ya mahakimu/Majaji wanaoendesha kesi zetu za hapa nchini? maana huko mahakamani nako kunanuka rushwa na ufisadi nani atafanya hivyo na ni lini tutegemee hilo bwana Malecela??!!
 
Iundwe independent elimination squad.

Inachunguza, inahukumu, ina eliminate kila afanyae madudu awe ni waziri au tarishi. Siku anayokuwa eliminated, anawekewa na hukumu yake na ushahidi kamili wa madudu aliyofanya.

Wakifika watano tu! ukimpa mtu hata soda atakataa! wacha "takrima" na "ten percent".
 
Hakuna lolote, labda yy Jk ajipeleke mahakamani kwanza ! Mbona bado kaweka walaji wengine kulinda maslahi yake ktk sekta flan flan ? Katibu mkuu km yule Komba alimpa zawadi ya ubalozi Uganda baada ya kufanikisha kuuza wale wanyama sasa kama kweli yy hausiki basi amtimue yule haraka na kumrudisha ajibu mashtaka !

What about Jahiro ? Blandina Nyoni anajulikana tangu zamani, hao akina Mapunjo wanajulikana madili yao na yy mwenyewe tangu wakiwa wizara kibao mpaka alipmvuta Ikulu, na then kumpeleka viwanda na biashara ambako yy ni mmoja wa hao wenye makampuni feki na JK anajua siku nyingi.

WTF, mnampa sifa kuwa yy ndiyo aliamua report ijadiliwe, kwani hii ni report ya CAG ya kwanza ? Ni upinzani ndiyo umesababisha haya yote na baadhi ya wabunge wa CCM baada ya kufuatilia wakagundua ni kweli wenzao wanakomba bila huruma na JK anajua na kuhusika thru mtandao plus RZ1. Mbona yule DED aliyetafuna mahela akiwa Bagamoyo, rafiki yake mkubwa ndiyo kampa u RC Arusha ?

So wewe acha hizi sifa hewa unless sasa unavizia nafasi iliyobaki ya kuteuliwa ubunge !! Vp anakuja lini kufungua tawi lako la CCM...lol



Wakuu JF heshima mbele sana,

- Well, kitendo cha Rais kuwabadili mawaziri waliokuwa wakituhumiwa kuhusika na upotevu wa hela za wananchi na ripoti ya CAG, kina maana moja tu kwamba hata na yeye ameridhika kwamba kuna ukweli au FACTS katika tuhuma walizokuwa wakituhumiwa nazo, ninasema great second day kwa Taifa, kwanza ilikuwa kuweka ripoti wazi to the public na kuruhusu mjadala wa public!

- Sasa ifike mahali pa kufanya kweli, yaani Watuhumiwa wote kufikishwa kwenye mkondo wa Sheria, haki itakua imetendeka na sio otherwise, kwanza haki kwao mawaziri maana wanahitaji kuwa wasafi mbele ya public na pili Serikali kulinda heshima yake kwamba sasa ipo serious, ama sivyo kuitoa ripoti ya CAG to the public itakuwa ni kazi ya bure, I mean mawaziri na viongozi wetu wakijua kwamba madhara ya kuiba ni kujiuzulu tu na kuachiwa ukale mihela ya wananchi tutakua tunajenga taifa la kusadikika, na itakuwa kazi kubwa kumpitisha Rais wa CCM 2015!

- MHESHIMIWA RAIS, UBARIKIWE KWA KUSIKILIZA MAONI YA WANANCHI, SASA TWENDE MBELE ZAIDI TUFIKE KWENYE SHERIA NA WOTE WENGINE HAO MAKATIBU NA WAKURUGENZI ULIOSEMA KWENYE HOTUBA YAKO KUWA WANAHUSIKA NA WAO PIA UWE MWENDO WA KUELEKEA KWENYE SHERIA!, NI SHERIA TU NDIO INAWEZA KUTUSAFISHA WOTE, SERIKALI NA MAWAZIRI WALIOACHWA!

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!



William @DSM CITY!
 
misamiati kama hii haipo nchini mwetu hata ikijitokeza huwa ni kiini macho na milango mingine ya kujipatia pesa tukumbuke kuwa Serikali yetu haina historia ya kushinda kesi mahakamani
 
....Kipindi hiki ambacho msanii bado amejaa tele pale Ikulu hii itakuwa ni ndoto ambayo haitakuja kuwa kweli.
 
Wakuu JF heshima mbele sana,

- Well, kitendo cha Rais kuwabadili mawaziri waliokuwa wakituhumiwa kuhusika na upotevu wa hela za wananchi na ripoti ya CAG, kina maana moja tu kwamba hata na yeye ameridhika kwamba kuna ukweli au FACTS katika tuhuma walizokuwa wakituhumiwa nazo, ninasema great second day kwa Taifa, kwanza ilikuwa kuweka ripoti wazi to the public na kuruhusu mjadala wa public!

- Sasa ifike mahali pa kufanya kweli, yaani Watuhumiwa wote kufikishwa kwenye mkondo wa Sheria, haki itakua imetendeka na sio otherwise, kwanza haki kwao mawaziri maana wanahitaji kuwa wasafi mbele ya public na pili Serikali kulinda heshima yake kwamba sasa ipo serious, ama sivyo kuitoa ripoti ya CAG to the public itakuwa ni kazi ya bure, I mean mawaziri na viongozi wetu wakijua kwamba madhara ya kuiba ni kujiuzulu tu na kuachiwa ukale mihela ya wananchi tutakua tunajenga taifa la kusadikika, na itakuwa kazi kubwa kumpitisha Rais wa CCM 2015!

- MHESHIMIWA RAIS, UBARIKIWE KWA KUSIKILIZA MAONI YA WANANCHI, SASA TWENDE MBELE ZAIDI TUFIKE KWENYE SHERIA NA WOTE WENGINE HAO MAKATIBU NA WAKURUGENZI ULIOSEMA KWENYE HOTUBA YAKO KUWA WANAHUSIKA NA WAO PIA UWE MWENDO WA KUELEKEA KWENYE SHERIA!, NI SHERIA TU NDIO INAWEZA KUTUSAFISHA WOTE, SERIKALI NA MAWAZIRI WALIOACHWA!

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!



William @DSM CITY!

Unabembeleza sheria kuchukua mkondo wake! tena kwa kumsifu rais, walikunyima kura kihalali kama akili yenyewe ndio hii.
hii inatokea tanzania pekee
 
Hata wakipelekwa mahakamani wataishia kutakaswa tu na watatoka vifua mbele. Hakutakuwa na ushihidi (uwe upo au haupo) wa kuwatia hatiani moja kwa moja! Ingekuwa enzi za udikteta unachukuwa tu mali zao na ku freeze akaunti zao unawapeleka kuchunga ng'ombe huko kwao na wasikanyage mjini tena. Lakini sasa ndio tunaambiwa utawala wa kisheria na demokrasia. Wajanja wanatumia hiyo demokrasia na utawala wa kisheria kutuibia kisheria.
 
Iundwe independent elimination squad.

Inachunguza, inahukumu, ina eliminate kila afanyae madudu awe ni waziri au tarishi. Siku anayokuwa eliminated, anawekewa na hukumu yake na ushahidi kamili wa madudu aliyofanya.

Wakifika watano tu! ukimpa mtu hata soda atakataa! wacha "takrima" na "ten percent".
Ribosome hii ni kali sana lakini naipenda. Hii ikifanyika mbona mambo yatakuwa safi kabisa. Mambo ya uchunguzi hadi upate ushahidi usio na shaka ati mahakama iwatie hatiani ni kama ndoto vile. Ukiwapeleka mahakamani wanaenda kuwa laundered!
 
Last edited by a moderator:
William @ DSM City Nilifungua Thread yako Nikijua huu ni uhamuzi wa ndani ya chama kuwa mumeazimia kuwafikisha Mahakani kumbe na wewe unataka usikie JF Wanasemaje kuhusu hili!Nafikiri una platfom nzuri ndani ya chama kumfikishia Raisi huu ujumbe wako. Majibu atakayokupa ndo utubandikie hapa!

Mytake: Kuwapeleka mahamani is One Thing, Sheria kuchukua Mkondo wake is the 2nd Thing......Mramba,Yona na Wengine wapo Bunge Zimeishiwa wapi?

Ubarikiwe Le Bahari Bongo kama NY au unasemaje!
 
Le Baharia wewe ndio unaongea hvyo? Katika ccm nani anayeweza kumvisha paka kengele? Labda Deo Filikunjombe ndio anaweza!! Si tu kupelekwa mahakamni na pia kufilisiwa mali walizopata kwa rushwa na kuhujumu uchumi...Kwa mshaara gani mtu uweze kununua nyumba ya dola 700k? Kwa mshaara gani uweze kujenga nyumba ya ghorofa 5 tena fasta fasta? Mkulo ni fisadi anashirikiana na al-sayeed pamoja na babylon kuficha mali zake,magari ya al-sayeed ni ya mkulo,majengo ya babylon ni ya mkulo.
 
Le Bahari Ebu tusaidie kuelewa Hivi Wazo la Kuwepo kwa Waziri asiyekuwa na Wizara Maalumu(Minister without Portifolio)Lilitolewa na CC au ni aloud thinking ya Mukulu mwenye? Hii Cheo kilikuwepo some years back then kikaondolewa,kimerudishwa tena Je,Kina Tija kwa Taifa lenye uchumi wa kama wetu?

Heshima mbele kama Tai Mkuu!
 
Iundwe independent elimination squad.

Inachunguza, inahukumu, ina eliminate kila afanyae madudu awe ni waziri au tarishi. Siku anayokuwa eliminated, anawekewa na hukumu yake na ushahidi kamili wa madudu aliyofanya.

Wakifika watano tu! ukimpa mtu hata soda atakataa! wacha "takrima" na "ten percent".

Nimeipenda. Imekaa vizuri.
 
Back
Top Bottom