Mavazi yanamtambulisha mtu?

Nchi za wazungu katika vitu hawajali ni mavazi na inafanya maisha yanakuwa very simple, yaani ukienda hata kwenye nyumba za ibada watu wako simple, tshirt, pence na ndala, jeans na trainers, nk.
Hata baadhi ya maofisi hawajali unavaa nini mradi sio very revealing
Ukijichanganya Mweusi hata na jeans tu kwa Tz yetu hii huingii.
 
Acha uongo,kutoa damu si lazima group zimatch.
Inategemea na hali ya blood bank huwezi jua
Ama kama ni O Rh- kuipata sio rahisi na zingine rare

unless wewe ni 'universal recipient' ndio utawekewa damu yoyote
Otherwise Kila mtu anapokea damu ya mtu alie kundi moja naye tu
 
Inategemea na hali ya blood bank huwezi jua
Ama kama ni O Rh- kuipata sio rahisi na zingine rare

unless wewe ni 'universal recipient' ndio utawekewa damu yoyote
Otherwise Kila mtu anapokea damu ya mtu alie kundi moja naye tu
Utaratibu ni kwamba damu unayotoa ni kwa ajili ya kufanya replacement ya damu atakayowekewa muhitaji,wewe ukitoa damu inapelekwa maabara huki na kukaa miezi mitatu ndio itafaa kwa matumizi
 
Utaratibu ni kwamba damu unayotoa ni kwa ajili ya kufanya replacement ya damu atakayowekewa muhitaji,wewe ukitoa damu inapelekwa maabara huki na kukaa miezi mitatu ndio itafaa kwa matumizi
Sawa yawezekana ni utaratibu
Ila je muda wote blood bank wana aina zote?.
 
Mtu akikuangalia sana, kwa hali ya kutamani haiba yako ilivyo njiani au Hotelini, Bara nk, utamjua tu huyu mtu ananiona so special tofauti na mazingira haya niliyomo!! ukitaka kumjua kuwa kakuthamini akilini mwake kama unavo dhani, fanya hivi ,

Imba wimbo wa Bendi ya Sikinde kwa sauti kubwa kidogo! ''wanaume tumeumbwa...... mara moja atakushusha na kukupotezea!!!! au

Vuta sigara, utajua tu huyu jamaa kanitoa thamani!! lkn ukipiga kimya kistaarabu atakuja siku moja kujenga urafiki na kukuuliza uliza unaishai wapi mara kazi.
 
Tabia ya MTU ni Tabia tu na Si mavazi. Ingawa kwa asilimia kubwa mavazi yanaweza kusaidi kufaham kidogoo kwa kuanzia Tabia za walio wengi. Mfano Watu wengi wenye Pesa katika Maisha yao ya kawaida wanavaaa kawaida tu labda wakiwa kiofisi muda wa kaz
 
Siamini kama mavazi niutambulisho watabia kwasabu suti inaonekana nivazi laeshima chaajabu ckuizi wezi uvaaga suti ata matapeli pia navichaa pia
 
Mimi naamini mavazi ya mtu yanaweza kabisa kumtambulisha mtu tabia zake mbele ya wengine. Na kwa uzoefu wangu watu wengi ambao huwa wanavaa vizuri asilimia kubwa ni watu wastaarabu.


Binafsi siwezi kuzijua tabia za mtu kwa mavazi lakini asilimia kubwa ya watu wanawezaga kunipa sifa zangu kwa kuangalia mavazi yangu/ninavyopendelea kuvaa.

Hivyo naamini inawezekana kuzijua tabia za mtu kwa staili hiyo.
 
Mimi naamini mavazi ya mtu yanaweza kabisa kumtambulisha mtu tabia zake mbele ya wengine. Na kwa uzoefu wangu watu wengi ambao huwa wanavaa vizuri asilimia kubwa ni watu wastaarabu.
Kuvaa NYUKU NYUKU kama una uwezo wa kuvaa vizuri NOMAAAA




Binafsi siwezi kuzijua tabia za mtu kwa mavazi lakini asilimia kubwa ya watu wanawezaga kunipa sifa zangu kwa kuangalia mavazi yangu/ninavyopendelea kuvaa.

Hivyo naamini inawezekana kuzijua tabia za mtu kwa staili hiyo.
 
Mimi naamini mavazi ya mtu yanaweza kabisa kumtambulisha mtu tabia zake mbele ya wengine. Na kwa uzoefu wangu watu wengi ambao huwa wanavaa vizuri asilimia kubwa ni watu wastaarabu.
Kuvaa NYUKU NYUKU kama una uwezo wa kuvaa vizuri NOMAAAA


Asante BAK.
Sijui maana ya "NYUKU NYUKU" lakini kwakuwa umeongelea pia kuwa na "uwezo " wa kuvaa vizuri, nahisi nimeelewa maana yake.

Hapa huu uwezo unamaanisha wa kifedha? Na "kuvaa vizuri" pia ni kuvaaje?Kwani wapo watu wanavaa nguo za gharama sana lakini bado sio za kistaarabu.
 
Back
Top Bottom