hivi huyo jamaa aliyetoa hii taarifa alisomea wapi na huu utafiti alifanyia wapi,Unajua wachina ni waatalaam sana wa tiba za asili (chinese traditional medicine).hizi habari ziliniumiza kichwa ikabidi nimuulize profesa mmoja wa tiba asilia za kichina akajibu"hamna kitu kama hicho".yaani hapa nipo hoi,sasa hawa wanajjiita maproffesa hizi research walizifanya kweli?hapa china kila mwanamke anavaa jeans isipokuwa kwa sasa ni summer