Junior Lecturer
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 904
- 526
¤ Kazi zote za nyumbani anamwachia dada wakazi.
¤ Kazini kwake amesha vuruga na wenzake karibia wote mpaka bosi wake.
¤ Kachukua mkopo 12m toka bank ya crdb hajanishirikisha mwezi wa tatu sasa nimeprove kwenye salary sleep zake.
¤ Hana muda nami tena tukiwa home yupo busy na raptop yake, nikitangulia kulala yeye anachelewa kuja kulala, akitangulia yeye busy tu na mambo yake.
¤ Mtaani amesha korofishana na watu kibao.
¤ Mtoto wetu na dada wakazi kila siku wana nambia wewe na mama hamko sawa myamalize.
¤ Hana story tena na ndungu zangu hawapigi simu hata wakimpigia hapokei akipokea majibu yake ni yamkato sana.
¤ Hashauriki hambiliki ,hanisikilizi kabisa.
¤ Majibu yake kwa sasa hanamuda wa kurumbana wala kumnyenyekea mwanaume mtumzima kama mimi.
¤ Sasa nafua mwenyewe nikiwepo nyumbani au dada wakazi.
¤ Ndugu hameshindwa kurudisha upendo unaooweka kila kukicha.
Nataka ni mnyoshe mkewangu wandoa naomba ushauri wenu.
Binafsi nataka niondoke nyumbani walau nikapumzike mbali na jiji hili for 6months.ushauri tafadhari.
¤ Kazini kwake amesha vuruga na wenzake karibia wote mpaka bosi wake.
¤ Kachukua mkopo 12m toka bank ya crdb hajanishirikisha mwezi wa tatu sasa nimeprove kwenye salary sleep zake.
¤ Hana muda nami tena tukiwa home yupo busy na raptop yake, nikitangulia kulala yeye anachelewa kuja kulala, akitangulia yeye busy tu na mambo yake.
¤ Mtaani amesha korofishana na watu kibao.
¤ Mtoto wetu na dada wakazi kila siku wana nambia wewe na mama hamko sawa myamalize.
¤ Hana story tena na ndungu zangu hawapigi simu hata wakimpigia hapokei akipokea majibu yake ni yamkato sana.
¤ Hashauriki hambiliki ,hanisikilizi kabisa.
¤ Majibu yake kwa sasa hanamuda wa kurumbana wala kumnyenyekea mwanaume mtumzima kama mimi.
¤ Sasa nafua mwenyewe nikiwepo nyumbani au dada wakazi.
¤ Ndugu hameshindwa kurudisha upendo unaooweka kila kukicha.
Nataka ni mnyoshe mkewangu wandoa naomba ushauri wenu.
Binafsi nataka niondoke nyumbani walau nikapumzike mbali na jiji hili for 6months.ushauri tafadhari.