William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Alipoulizwa kama ni sahihi kwa Bw. Mgonja kutohusishwa kwenye mashitaka yanayomkabili, Bw. Mramba alidai wadhifa wa uwaziri ni wa kisiasa na mtendaji ni katibu mkuu ndio maana yanaibuka maswali mengi.
- The dataz sasa ni kwamba majaji wote muhimu wa hizo kesi huu ni msimu wao wa likizo za mwaka, kwa hiyo hawapo mjini wanarudi Januari ndio mchezo utaendelea, cha muhimu sasa ni sisi wananchi kutafuta habari zaidi wahusika na ufisadi wapo wapi? Wako huru?