X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Kuna mdau amenitumia picha za mauwaji, haijulikani yametokea wapi but some where in Tz. Ni picha za kutisha (horror) kwa wale wenye nyoyo nyepesi.
Nimesita kuzituma humu kwa kuchelea lawama.
Maiti ni ya kijana kati ya umri wa miaka 20-25. Mweupe kiasi na ana nywele nyingi. Maiti yake inaonekana imekatwa katwa... Nahisi aliyetuma picha hizo amezipiga kutoka chumba cha maiti.
Wadau kama Mod hataruhusu naweza kuzibandika hapa. Ila kuziangalia is your own risk.
Nimesita kuzituma humu kwa kuchelea lawama.
Maiti ni ya kijana kati ya umri wa miaka 20-25. Mweupe kiasi na ana nywele nyingi. Maiti yake inaonekana imekatwa katwa... Nahisi aliyetuma picha hizo amezipiga kutoka chumba cha maiti.
Wadau kama Mod hataruhusu naweza kuzibandika hapa. Ila kuziangalia is your own risk.