Maumivu ya moyo....!!!

Hii unawza ukapiga kreti la bia hata usiskie zinaenda wapi mana akili inakua kama inaruka
 
Hizo ng'ombe zinajuana vizuri mno. Halafu haiwezekani demu anachat kwa kujiamini namna hiyo. Hao walishakua na mazoea ya karibu kitambo mnoo. Cha msingi hapo chukua uamuzi mgumu. Ila mimi hizo ng'mbe zingenilaza cello kwa wiki kadhaa. Nikitoka naanza maisha yangu
 
Hahahah eti ngombe
 
Kaka polee saana..ila ulifanya kosa kumuamini rafiki yako hadi kwa manzi wako..

[HASHTAG]#kaeni[/HASHTAG] chini muongee na mjue wapi mlikosea..!!
 
True that mkuu
 
Nimeupokea kwa mikono miwili ushauri wako mkuu
 
Nikwel mkuu, natupia hapa bia kadhaa kwanza nirelax
 
Hilo ndio swala limeniuma sababu that day alinipa excuse kwamba anaenda kwa dada yake mmoja ambaye anaumwa anaenda kumwangalia nikamwambia nimptie huko alipo twende wote ila akakataa akasema nisijali
 
kwan

kwanza nikupe pole sana mkuu kwa yaliyokukuta,this is one of the ways we learn to be men.you gotta be strong,take everything with moderation,take things a little bit calmer.Angekuwa ni mke ningeshauri vinginevyo lakini kwa kuwa ni girl friend tu na siyo hata mchumba uliyemtolea mahari au kujitambullisha kwao,kaa nae chini,mwonyeshe ulichokiona then kwa upole kabisa mwambie unadhan "perfect match" yake ni huyo jamaa yake na siyo wewe.Usikubali kumsikiliza sana mwanamke,unaweza kupoteza misimamo yako.Mtakie maisha mema.Sioni kama kuna sababu ya kumuuliza huyo jamaa japokuwa ni kama ndugu yako,mdada mwenyewe atafikisha ujumbe kwa huyo ndugu yako.

Pia jipe muda,sasa hivi unaweza ukajiona huwezi kuimudu hali uliyonayo,unaweza hata kazini ukashindwa kwenda,hata kula ikawa shida kwa kuwa utakuwa unajiuliza kwanini kakutenda hivi,usiogope bro,take time,as time goes by,you will be ok.You will gain your usual strength.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…