Maumbile yake ni makubwa

Maumbile yake ni makubwa

Nimeleta hapa huu uzi kwa kuwa,Ki-mtazamo jambo hili limebeba maana kubwa Kwenye kesho yangu mahusiano.

Nimekuwa na kiu kubwa ya uhitaji wa mchumba kwa lengo la kuwa mke.. Mungu sii juma wala James, nimepata tena wa kabila langu na mwenye sifa nyingine nzuri, tuliridhiana na Kuanza mahusiano tulikaa miezi miwili bila kukutana,kabla yake nimewahi kuwa na mahusiano tofauti hivyo ninaexpirience nzuri juu size ya maumbile ya kike. Ni hivi juzi tuu ilitokea akaja kwangu na nikatembea nae tangu tufahamiane,Nilipokuwa nafanya nae niligundua kuwa maumbile yake ni makubwa kiasi kwamba mashine Ilikuwa kama ipo hewani Mara nyingi, na mwajua vema kinachotokea, ni kuchelewa kumwaga, nilitumia zaidi ya lisaa limoja ndo nikamwaga.

Tangu juzi nimebaki nang'aa tuu macho na nisijue kipi kitakachojiri kwani kweli nilimkubali sana huyu mdada na naona kabisa moyo umeanza kusita, hadi najiskia vibaya...
Mawazo yenu yanaweza kunipa mwanga mwingine aidha nikasonga, au vinginevyo ilimradi Nipate mwanga ili nijue mustakabali wa mahusiano haya mapya yenye nia njema kabisa ya kuwa wanandoa

Hofu yangu ni moja tuu, niliwahi kusema sitaki kuoa na Kisha siku itokee nimtese, au kumuumiza kihisia mtoto wa watu.. Sasa nimeona kitu kitakachopelekea shida nisiyoitaka mbeleni kimejitokeza. Nifanyeje...
Na je hilo tatizo Lina tiba au sulihisho lake ili kama Kuna tiba nihangaike nae nimtibu.

Naomba mawazo yenu
Kibamia mkuu muene dr atakusaidia hakuna K kubwa ya kike punguza tumbo fanya mazoezi
 
Embu fanya kutafuta background information ya Shemeji Mkuu...

Inawezekana alishawahi jifungua na kwa kuwa mtoto alikuwa mkubwa kuliko maungo yake ya uzazi hivyo ikapelekea kufanyiwa operation inayoitwa "Episiotomy" ambao njia ya uzazi iliongezwa na katika katika kushonwa labda hakushonwa vizuri na hivyo kupelekea uke wake kuwa mkubwa....

Usifanye kumwacha kisa hilo tatizo embu fanya unavyokutana nae baada ya kuingiza dushelele hakikisha unasugua kiupande upande na pia mwambie awe huru afanye kulia lia pale unaposugua papuchi yake na mwisho kabisa hakikisha unapomsugua uwe unaangalia dushe linavyozama na kutoka na hakika utakojoa ndani ya dakika 15 mkuu...
Kibamia at work
 
hivi maumbile makubwa yanakuwaje...ila pole lisaa zima unapiga nje ndani duh...🙂🙂🙂😎,,,,,sikia dogo mfundishe mikao ambayo kitu inakuwa tight....inogile baba.....hapo ishu sio bamia au tango...ni mkao....mikao iko lukuki.......mapenzi sanaa braza....kuwa mbunifu mufurahie wote....utazunguka sana,,,na umri unaenda....huyo uyo anakufaaa...
 
Back
Top Bottom