Maumbile yake ni makubwa

Maumbile yake ni makubwa

Nimeleta hapa huu uzi kwa kuwa,Ki-mtazamo jambo hili limebeba maana kubwa Kwenye kesho yangu mahusiano.

Nimekuwa na kiu kubwa ya uhitaji wa mchumba kwa lengo la kuwa mke.. Mungu sii juma wala James, nimepata tena wa kabila langu na mwenye sifa nyingine nzuri, tuliridhiana na Kuanza mahusiano tulikaa miezi miwili bila kukutana,kabla yake nimewahi kuwa na mahusiano tofauti hivyo ninaexpirience nzuri juu size ya maumbile ya kike. Ni hivi juzi tuu ilitokea akaja kwangu na nikatembea nae tangu tufahamiane,Nilipokuwa nafanya nae niligundua kuwa maumbile yake ni makubwa kiasi kwamba mashine Ilikuwa kama ipo hewani Mara nyingi, na mwajua vema kinachotokea, ni kuchelewa kumwaga, nilitumia zaidi ya lisaa limoja ndo nikamwaga.

Tangu juzi nimebaki nang'aa tuu macho na nisijue kipi kitakachojiri kwani kweli nilimkubali sana huyu mdada na naona kabisa moyo umeanza kusita, hadi najiskia vibaya...
Mawazo yenu yanaweza kunipa mwanga mwingine aidha nikasonga, au vinginevyo ilimradi Nipate mwanga ili nijue mustakabali wa mahusiano haya mapya yenye nia njema kabisa ya kuwa wanandoa

Hofu yangu ni moja tuu, niliwahi kusema sitaki kuoa na Kisha siku itokee nimtese, au kumuumiza kihisia mtoto wa watu.. Sasa nimeona kitu kitakachopelekea shida nisiyoitaka mbeleni kimejitokeza. Nifanyeje...
Na je hilo tatizo Lina tiba au sulihisho lake ili kama Kuna tiba nihangaike nae nimtibu.

Naomba mawazo yenu
Kwa uelewa wangu wanawake maumbile yao yako flexible.. Hapo kuwa makini.. Kaa nae siku kama tatu au nne bila kumgusa hakikisha hajatoka nje ya upeo wako... Kisha piga tena uangalie kama kweli ni kubwa ..Mi ilishanitokea nikafanya kama nilivyokushauri nikaja gundua kuna uwezokano mkubwa siku ya kwanza kuna mtu alipita kabla yangu... Hapo nahisi kuna mtu alipiga ndio ukaja piga wewe
 
K kubwa zipo msimbishie mtoa mada, kama ilivyo maumbile yanavyotofautiana na wao mashimo yao yanatofautiana! hasa waliozaa hii kitu hudhihilika zaidi!
Unaweza ukakutana na mwanamke ukawa unaingiza NUSU TU lakini kuna wengine unapeleka yooete inch 7 inazama na bado anaoukandamiza!
MTOA MADA TAFTA SAIZI YAKO huyo shemeji hakufai UTAPITA KAMA UPEPO
 
Au huenda alitoka kusuguliwa na mwingine Mwenye umbile kubwa kuzid alivyokuja kwako ikapwaya jaribu kurudia tena huo uzinifu wako baada ya wiki
 
Daah hio hataree mimi nilikua napiga mpaka malaya wa kona bar na sijawahi kumkuta na bwawa.... Ila sometime kuna style ukipiga iwe kubwa iwe ndogo unaenjoy.....

Tumia style tofauti acha kupenda missionary position....

Mke ni zaidi ya uchi...
 
Mkuu usiwaze sana..endelea kula mzigo..huku ukimwambia awe anakufinyia kwa ndani..utashangaa utamu wake...na baada ya muda italingana na saizi ya kibamia chako..mana huko aliko toka alikutana na mpini wa maana ndo iko hvyo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Tatizo ndo hilo la kuwa kwenye mahusiano na watu wengi kabla ya ndoa ungekuwa na huyo huyo mmoja usingeweza kujua kwamba yake ni kubwa au ndogo maana unakuwa hauzijui za wengine zikoje

Shida inakuja ukishaanza kuonja na za wengine lazima utajua tu kuzitofautisha na utakuwa umeshajua za aina ipi unazitaka na za aina ipi hauzitaki mkiambiwa muache umalaya hamtaki basi endeleeni kushindana kujua vibamia na mikuyenge sijui mibwawa na vimnato mnajua wenyewe
 
Aiseee.. hatari sana.
Ila kwa ushauri wangu ni bora uachane nae maana maisha ya ndoa ni maisha mengine usije kumtesa mwenzio hapo mbele ya safari.
Moja ya baraka za ndoa ni kufanya hilo tendo ukifurahia, sasa wewe utaishi vipi na mtu ambaye hufurahii unapokutana nae katika tendo? Achana nae
 
Wadada huwa hawataki kukubali kuwa kuna wenzao wana mashimo mapana, wao wanachojua ni kama haifiti ni kibamia basi. Kwa staili hii ni ngumu kutibu tatizo kama mwenye tatizo hajui ana tatizo
 
Wadada huwa hawataki kukubali kuwa kuna wenzao wana mashimo mapana, wao wanachojua ni kama haifiti ni kibamia basi. Kwa staili hii ni ngumu kutibu tatizo kama mwenye tatizo hajui ana tatizo
Lakini ukweli utabaki pale pale kuwa kuna vibamia na mabwawa heee
 
Huo ukweli tunaukubali Sisi wanaume tu lkn wanawake hapana, ni rahisi kumsikia mwanaume anasema ana kibamia lkn huwezi kumsikia mwanamke anasema ana bwawa
Lakini ukweli utabaki pale pale kuwa kuna vibamia na mabwawa heee
 
Back
Top Bottom