LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,297
- 1,038
Tena kavaa mapete yaleyale ya kama kina nani hiino!!??:A S embarassed:
Tena kavaa mapete yaleyale ya kama kina nani hiino!!??:A S embarassed:
wivu wa kikeKwani na yeye si nanihino pia.....eti ana wake wanne umri huo na magonjwa haya yoote
hajakua bado.
Kashauriwa na yule mke wake mdogo!
Nae Mhuni!Na huyu je?![]()
ila anaonekana anajiamini maana yake kamuweka mtu kati mkwere
Kaka/Dada nini maana ya maneno haya ?mtu anaoa wanawake sita katika maisha haya unafikili ni UJANA??????????// mduanzi kama waduamzi wengine
ila anaonekana anajiamini maana yake kamuweka mtu kati mkwere
jamani si ndio ujana huo