jamani si ndio ujana huo
Hao ndio tunawategemea kama vioo vya jamii yetu ! Lakini hicho sijui hata kinaitwa kibwezi au nini?
Usipo fanya haya mambo ujanani mwisho wake ndio huo!
hahaaaaaaaajamani si ndio ujana huo
Literal translation (Kiingereza kwenda Kiswahili)
Akili nyepesi huzungumzia watu
Akili za kawaida huzungumzia matokeo
Akili kubwa huzungumzia fikra za ubunifu.......
wivu huo,wewe hata mmoja kakushinda hahahaaaa!!!mtu anaoa wanawake sita katika maisha haya unafikili ni UJANA??????????// mduanzi kama waduamzi wengine
huo mnyoo mbona poa kabisa hauna neno ati