Maudhi ya operesheni kimbunga!!

Maudhi ya operesheni kimbunga!!

Mfikirishi

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
10,422
Reaction score
12,138
Kwanza naomba ku-declare interest yangu hapa!

“I am not only a Tanzanian or just a Luo, but a citizen of the world...."

Tarehe 16/09/2013 niliitwa Uhamiaji Makao Makuu kwa kisingizio kuwa mimi si raia halali wa nchi ya Tanzania...

Walifuatilia jina langu; wakaangalia na sura yangu eti waka-rule out kuwa mimi si raia wa Tanzania! Wengi wamepata kashi kashi

hizi hapa mjini na maeneo mengine kama Arusha, Kigoma, Kagera, Musoma, Mwanza, n.k

Wakaniuliza maswali mengi likiwemo hili la kustaajabisha kidogo... Kuwa "Babu mzaa baba yangu au Bibi mzaa mama yangu aliingia

lini nchini Tanzania...???" Maswali ya kipuuzi nami niliwajibu kipuuzi "Sijuhi kwa sababu sikuwepo kuthibitisha kama ni kweli walitoka

sehemu nyingine kuingia nchini Tanzania ama la"

Lakini nami nikawauliza sheria inasemaje kuhusu uraia? - Maelezo niliyopewa hayakuridhisha na ni kiri tu kuwa wale jamaa

wanaoweka pale ni weupe sana kichwani!

Nikauliza tena swali: Nani ni Mtanzania? Je kama tukianza kuwafuatilia watu kwa asili ya majina yao na maeneo tunayohisi historia

ndiko ilikoanzia kuna watu watakuwa Watanzania kweli?

Jamani maudhi ya operesheni hii ni mengi sana usiombe yakufikie! Ni waase tu wale wenye majina yenye asili ya nchi kama Kenya,

Sudani Kusini, Congo DRC, Uganda, Rwanda, Burundi, n.k kamwe usitembee bila vitambulisho vyako - Birth certificate, Voter ID, n.k.

Zoezi hili linaweza kuwa na nia njema kabisa lakini waliopewa kulisimamia na mbinu wazazotumia zitatuachia nyufa nyingi sana na

uhasama mkubwa sana na majirani zetu! Lakini pia unabaki unajiuliza maswali mengi bila majibu.

Ina maana hapa nchini usalama wa Taifa hawajui majukumu yao?

Mbona zoezi hili ni kwa baadhi ya watu tu tena waAfrika wenzetu?

Mbona zoezi linazingatia majina ya watu na muonekano wa sura zao tu?

Je, ni halali kwa waendesha operesheni kukamata/kugawana mali za watuhumiwa?

Je, taratibu za kidiplomasia zinaelekeza hivi au hizi ni hasira dhidi ya Kenya, Rwanda na Uganda?
 
jambo ninaloshangaa raia wa uganda,rwanda na kenya wakishikwa wanarudishwa kwao fasta,lakin raia wa malawi walioambiwa wakajiandikishe wapewe vibali vya kuishi.kwa nini raia wengine wasisingeambiwa hivo.

mimi naona kuna aina fulani ya kulipizana kisasi na jirani zetu wa afrika mashariki,pia walioshikwa wengi ni black wakat kuna wahindi,waarabu kibao,hawana vibali harafu kamanda anajidai kusema tumeshika na wahindi 2,ili ionekane kuna raia wengine pia.

na ata majirani zetu washausoma mchezo ndio maana wameanzisha umoja wao,na watatekeleza kwa vitendo waliyokubaliana ili watuache kwenye mataa.
sisi tutakalia na uchadema,uccm,unga etc
 
jambo ninaloshangaa raia wa uganda,rwanda na kenya wakishikwa wanarudishwa kwao fasta,lakin raia wa malawi walioambiwa wakajiandikishe wapewe vibali vya kuishi.kwa nini raia wengine wasisingeambiwa hivo.

mimi naona kuna aina fulani ya kulipizana kisasi na jirani zetu wa afrika mashariki,pia walioshikwa wengi ni black wakat kuna wahindi,waarabu kibao,hawana vibali harafu kamanda anajidai kusema tumeshika na wahindi 2,ili ionekane kuna raia wengine pia.

na ata majirani zetu washausoma mchezo ndio maana wameanzisha umoja wao,na watatekeleza kwa vitendo waliyokubaliana ili watuache kwenye mataa.
sisi tutakalia na uchadema,uccm,unga etc

Na walimu 10,000 wa Kenya walioambiwa wajiandikishe wanatoka Commoro?
KWa sababu Raia wa Rwanda na Burundi walishapewa option ya kuwa raia wakakataa na option ya ku legalize wakataa na ndio maana wakishikwa tu lazima warudishwe. Maana option zingine hazifanyi kazi zaidi ya hiyo ya kuwarudisha.

Msikilize huyu ndo aliwapa option hizo, sasa wewe unatagemea nini? msikilize huyu bwana mpaka mwisho.

http://www.youtube.com/watch?v=Pxsbyi82uxM
 
[h=1]Kenyan teachers among 10,000 facing deportation from Tanzania[/h]


29Comments
Print

brn.jpg
Tanzania Teachers Union (TTU) President Gratian Mukoba during a press conference in Dar ea Salaam on September 12, 2013. With him is TTU Assistant Secretary, Dagdbest Deogratias. PHOTO/ AIKA KIMARO
[h=3]In Summary[/h]
  • There are 13,657 teachers, which is only 58 per cent of requirements.
  • This prompted private schools to employ teachers from Kenya, Uganda, Malawi and Zambia.
  • School owners raised the matter with President Jakaya Kikwete in Mbeya last year but are still waiting for a response.
  • Police and immigration officers are accused of mistreating and humiliating foreign teachers.

ADVERTISEMENT
general+picture.jpg
By SAUMU MWALIMU and KATARE MBASHIRU
More by this AuthorAbout 10,000 teachers face expulsion in a crackdown on illegal immigrants in Tanzania, private school owners have said.

The teacher to student ratio in Tanzania is 1:40, with a demand of 23,546 teachers.

There are 13,657 teachers, which is only 58 per cent of requirements.

This prompted private schools to employ 9,889 teachers from neighbouring Kenya, Uganda, Malawi and Zambia.

Tanzania Association of Managers and Owners of Non-Government Schools and Colleges (Tamongsco) has however decried the crackdown.

According to officials, it will have serious repercussions on private English medium schools.

AWAITING RESPONSE

Tamongsco secretary-general Benjamin Nkonya said most schools could not afford the $2,000 fee for a two-year work permit required for foreign teachers.

"A school with ten foreign teachers, for example, cannot afford to pay $20,000. We have appealed that the fee either be scrapped or reduced," he said.
School owners raised the matter with President Jakaya Kikwete in Mbeya last year, and were still waiting for a response, Mr Nkonya added.

He said Tomongsco members told the President that they had no option but to hire foreign teachers to work in private English medium schools due to a shortage of local tutors.

Mr Nkonya also accused police and immigration officers of mistreating and humiliating foreign teachers, saying some had been handcuffed in front of their pupils and bundled into police vehicles.

"This is not only humiliating, it also had an adverse psychological effect on pupils, especially those who were sitting the Standard Seven national examination," he said.

EXPIRED PERMITS

However, the country's ministry of Education and Vocational Training said it was not in a position to help private school owners who have employed illegal immigrants.

Ministry spokesperson Bunyanzu Ntambi said foreign teachers should not expect preferential treatment and must abide by immigration regulations.

"Foreign teachers are not exempt from immigration regulations. There is not much the ministry can do. It is up to school owners to think how best they can handle the situation," he said.

But Dar es Salaam Regional Commissioner Said Meck Sadick said foreign nationals found with expired work permits would not be immediately deported, and would be given an opportunity to renew them.

He said 527 illegal immigrants had been arrested since the operation began in the city on September 1.

In another development, criminals have been cashing in since the operation began in Dar es Salaam early this month.

Gangs masquerading as immigration officers have been extorting bribes from illegal immigrants by threatening them with arrest and prosecution.

This article first appeared in the Citizen.
 
sasa baada ya kukuhoji walikuacha? mbona waluo wako wengi lakini walikufuata wewe? sasa unataka wafanyeje wawakamate wazaramo?

jidodo jaribu kutumia busara na kama hauna kakope tafadhari. Unatia aibu tu kwa JF pamoja na Taifa. Huyu jamaa ana issue!
 
kwa hili la uraia wangeanza na hawa hapa mhamiaji aden rage,mhamiaji kinana, wahamiaji wengine wote walioko masaki,upanga na mikocheni ambapo operesheni kimbunga haipo.
 
Kwanza naomba ku-declare interest yangu hapa!

"I am not only a Tanzanian or just a Luo, but a citizen of the world...."

Tarehe 16/09/2013 niliitwa Uhamiaji Makao Makuu kwa kisingizio kuwa mimi si raia halali wa nchi ya Tanzania...

Walifuatilia jina langu; wakaangalia na sura yangu eti waka-rule out kuwa mimi si raia wa Tanzania! Wengi wamepata kashi kashi

hizi hapa mjini na maeneo mengine kama Arusha, Kigoma, Kagera, Musoma, Mwanza, n.k

Wakaniuliza maswali mengi likiwemo hili la kustaajabisha kidogo... Kuwa "Babu mzaa baba yangu au Bibi mzaa mama yangu aliingia

lini nchini Tanzania...???" Maswali ya kipuuzi nami niliwajibu kipuuzi "Sijuhi kwa sababu sikuwepo kuthibitisha kama ni kweli walitoka

sehemu nyingine kuingia nchini Tanzania ama la"

Lakini nami nikawauliza sheria inasemaje kuhusu uraia? - Maelezo niliyopewa hayakuridhisha na ni kiri tu kuwa wale jamaa

wanaoweka pale ni weupe sana kichwani!

Nikauliza tena swali: Nani ni Mtanzania? Je kama tukianza kuwafuatilia watu kwa asili ya majina yao na maeneo tunayohisi historia

ndiko ilikoanzia kuna watu watakuwa Watanzania kweli?

Jamani maudhi ya operesheni hii ni mengi sana usiombe yakufikie! Ni waase tu wale wenye majina yenye asili ya nchi kama Kenya,

Sudani Kusini, Congo DRC, Uganda, Rwanda, Burundi, n.k kamwe usitembee bila vitambulisho vyako - Birth certificate, Voter ID, n.k.

Zoezi hili linaweza kuwa na nia njema kabisa lakini waliopewa kulisimamia na mbinu wazazotumia zitatuachia nyufa nyingi sana na

uhasama mkubwa sana na majirani zetu! Lakini pia unabaki unajiuliza maswali mengi bila majibu.

Ina maana hapa nchini usalama wa Taifa hawajui majukumu yao?

Mbona zoezi hili ni kwa baadhi ya watu tu tena waAfrika wenzetu?

Mbona zoezi linazingatia majina ya watu na muonekano wa sura zao tu?

Je, ni halali kwa waendesha operesheni kukamata/kugawana mali za watuhumiwa?

Je, taratibu za kidiplomasia zinaelekeza hivi au hizi ni hasira dhidi ya Kenya, Rwanda na Uganda?

JP OMUGA nimekuelewa na ninashukuru kwa comments zako ili watu wengine waweze kupata faida. Ninaomba usikatishwe tamaa na watu wenye IQ ndogo na kotokuwa na busara ambao wanajaribu kuona tatizo lako siyo issue ya maana. Hii nchi inasikitisha sana tena sana. Hata hao wasomi wetu wataanza kuulzwa maana siamini kama kweli hawa jamaa walipanga namna ya kufanya ili kukamilsha hili zoezi. Yaaniwamekaa kwenye mezi na kupena kazi bila utaratibu wowote. Hii ndiyo TZ!! Maneno mengi but they cannot deliver at all! Paper work etc wanajua sana lkn waaambie wafanye kazi uppuzi mtupu. We angalia maswali wanayouliza? POssibly hawajui objectivs zilikuwa ni zipi ktk huu msako! pole sana mutani!!!!!!!
 
jidodo jaribu kutumia busara na kama hauna kakope tafadhari. Unatia aibu tu kwa JF pamoja na Taifa. Huyu jamaa ana issue!

Hapo kuna issue gani wakati serikali inatimiza wajibu wake? au nawe mhamiaji haramu? kama mtu alichukuliwa kwa mahojiano akaonyesha vilelezo kisha akaachiwa kuna ubaya gani? kwanza huyo jamaa si ndiyo yule aliyeleta thread ya kuichafua Tanzania katika sakata la Immigration JNIA Airport?
 
Kwanza naomba ku-declare interest yangu hapa!

“I am not only a Tanzanian or just a Luo, but a citizen of the world...."

Tarehe 16/09/2013 niliitwa Uhamiaji Makao Makuu kwa kisingizio kuwa mimi si raia halali wa nchi ya Tanzania...

Walifuatilia jina langu; wakaangalia na sura yangu eti waka-rule out kuwa mimi si raia wa Tanzania! Wengi wamepata kashi kashi

hizi hapa mjini na maeneo mengine kama Arusha, Kigoma, Kagera, Musoma, Mwanza, n.k

Wakaniuliza maswali mengi likiwemo hili la kustaajabisha kidogo... Kuwa "Babu mzaa baba yangu au Bibi mzaa mama yangu aliingia

lini nchini Tanzania...???" Maswali ya kipuuzi nami niliwajibu kipuuzi "Sijuhi kwa sababu sikuwepo kuthibitisha kama ni kweli walitoka

sehemu nyingine kuingia nchini Tanzania ama la"

Lakini nami nikawauliza sheria inasemaje kuhusu uraia? - Maelezo niliyopewa hayakuridhisha na ni kiri tu kuwa wale jamaa

wanaoweka pale ni weupe sana kichwani!

Nikauliza tena swali: Nani ni Mtanzania? Je kama tukianza kuwafuatilia watu kwa asili ya majina yao na maeneo tunayohisi historia

ndiko ilikoanzia kuna watu watakuwa Watanzania kweli?

Jamani maudhi ya operesheni hii ni mengi sana usiombe yakufikie! Ni waase tu wale wenye majina yenye asili ya nchi kama Kenya,

Sudani Kusini, Congo DRC, Uganda, Rwanda, Burundi, n.k kamwe usitembee bila vitambulisho vyako - Birth certificate, Voter ID, n.k.

Zoezi hili linaweza kuwa na nia njema kabisa lakini waliopewa kulisimamia na mbinu wazazotumia zitatuachia nyufa nyingi sana na

uhasama mkubwa sana na majirani zetu! Lakini pia unabaki unajiuliza maswali mengi bila majibu.

Ina maana hapa nchini usalama wa Taifa hawajui majukumu yao?

Mbona zoezi hili ni kwa baadhi ya watu tu tena waAfrika wenzetu?

Mbona zoezi linazingatia majina ya watu na muonekano wa sura zao tu?

Je, ni halali kwa waendesha operesheni kukamata/kugawana mali za watuhumiwa?

Je, taratibu za kidiplomasia zinaelekeza hivi au hizi ni hasira dhidi ya Kenya, Rwanda na Uganda?

Watanzania asilia wapo. Ni wale waliokutwa na mkoloni, wakazaana na hadi leo hii tuko na vitukuu vyao. Fuvu la mtu wa kale sana duniani lilipatikana Ngorongoro, Tanzania. Hii yote inathibitisha kuwa Watanzania asilia wapo. Swali lako kwa maofisa wa uhamiaji halikuwa na mashiko.
 
Mi nashangaa jambo moja,hiyo operation inaangalia Raia wa mipakani tu mbona wanawaacha Wachina na Wahindi wamejazana kibao viwandani na mitaani???? Mfano mzuri waende Kiwanda cha Nguo 21st Century pale Morogoro mule ndani ya kiwanda wapo wengi na hawatoki mule ndani hata siku moja mwisho getini
 
Kwanza naomba ku-declare interest yangu hapa!

"I am not only a Tanzanian or just a Luo, but a citizen of the world...."

Tarehe 16/09/2013 niliitwa Uhamiaji Makao Makuu kwa kisingizio kuwa mimi si raia halali wa nchi ya Tanzania...

Walifuatilia jina langu; wakaangalia na sura yangu eti waka-rule out kuwa mimi si raia wa Tanzania! Wengi wamepata kashi kashi

hizi hapa mjini na maeneo mengine kama Arusha, Kigoma, Kagera, Musoma, Mwanza, n.k

Wakaniuliza maswali mengi likiwemo hili la kustaajabisha kidogo... Kuwa "Babu mzaa baba yangu au Bibi mzaa mama yangu aliingia

lini nchini Tanzania...???" Maswali ya kipuuzi nami niliwajibu kipuuzi "Sijuhi kwa sababu sikuwepo kuthibitisha kama ni kweli walitoka

sehemu nyingine kuingia nchini Tanzania ama la"

Lakini nami nikawauliza sheria inasemaje kuhusu uraia? - Maelezo niliyopewa hayakuridhisha na ni kiri tu kuwa wale jamaa

wanaoweka pale ni weupe sana kichwani!

Nikauliza tena swali: Nani ni Mtanzania? Je kama tukianza kuwafuatilia watu kwa asili ya majina yao na maeneo tunayohisi historia

ndiko ilikoanzia kuna watu watakuwa Watanzania kweli?

Jamani maudhi ya operesheni hii ni mengi sana usiombe yakufikie! Ni waase tu wale wenye majina yenye asili ya nchi kama Kenya,

Sudani Kusini, Congo DRC, Uganda, Rwanda, Burundi, n.k kamwe usitembee bila vitambulisho vyako - Birth certificate, Voter ID, n.k.

Zoezi hili linaweza kuwa na nia njema kabisa lakini waliopewa kulisimamia na mbinu wazazotumia zitatuachia nyufa nyingi sana na

uhasama mkubwa sana na majirani zetu! Lakini pia unabaki unajiuliza maswali mengi bila majibu.

Ina maana hapa nchini usalama wa Taifa hawajui majukumu yao?

Mbona zoezi hili ni kwa baadhi ya watu tu tena waAfrika wenzetu?

Mbona zoezi linazingatia majina ya watu na muonekano wa sura zao tu?

Je, ni halali kwa waendesha operesheni kukamata/kugawana mali za watuhumiwa?

Je, taratibu za kidiplomasia zinaelekeza hivi au hizi ni hasira dhidi ya Kenya, Rwanda na Uganda?

Vyovyote itakavyotafsiriwa, Waondoke tu.
 
JP OMUGA nimekuelewa na ninashukuru kwa comments zako ili watu wengine waweze kupata faida. Ninaomba usikatishwe tamaa na watu wenye IQ ndogo na kotokuwa na busara ambao wanajaribu kuona tatizo lako siyo issue ya maana. Hii nchi inasikitisha sana tena sana. Hata hao wasomi wetu wataanza kuulzwa maana siamini kama kweli hawa jamaa walipanga namna ya kufanya ili kukamilsha hili zoezi. Yaaniwamekaa kwenye mezi na kupena kazi bila utaratibu wowote. Hii ndiyo TZ!! Maneno mengi but they cannot deliver at all! Paper work etc wanajua sana lkn waaambie wafanye kazi uppuzi mtupu. We angalia maswali wanayouliza? POssibly hawajui objectivs zilikuwa ni zipi ktk huu msako! pole sana mutani!!!!!!!

Matatizo haya yako muda mrefu na operesheni kama hizi zilishafanyika mwaka 1998 nchi nzima na 2006/7, 2008 kwenye mikoa husika, lakini wahamiajia haramu waliongezeka zaidi baada ya kuanzishwa jumuiya ya EAC. kwa vile raia wa nchi hizo waliona wana haki ya kuwepo kwa sababu ya EAC. operesheni imetokana na kilio cha wananchi kufuatia
-kungizwa silaha kinyume cha sheria
-vitendo vya ujambazi kukithiri
-mifugo kuingizwa kwa wingi na kuleta migogoro
-uharibifu wa mazingira
-migogoro ya ardhi n.k
Tanzania haina ugomvi na taifa lolote ilimradi uishi nchini kisheria na ufanye shughuli halali


 
wewe kama siyo Mtanzania jiondokee.
Mpendwa tunaiharibu TZ.kwa mikono yetu wenyewe... soma hapo:-
Mtanzania inatokana na Mtanganyika na Mzanzibari...Sasa WaTanganyika ni WaTanga na WaNyika ni wakenya hao walikuja wakakaribishwa na waGogo ambao ni wenyeji hapa Sasa kwa ujanja Wote tunajulikana. Na huko zanzibar ni Waarabu nao walobaki na kuoona na wamwambao ndo wakajiita wa zanzibari kakazaliwa kaTanzania. Acheni roho mbovu nyie wachache mlo malimbukeni !! AMERIKA huko watu wote ni wakufikia tu ona maendeleo Ona Matokeo ya wema wa Roho zao tija yake "UCHUMI JUU, ELIMU JUU, MAISHA TOSHA, AFYA POA, AJIRA za SHIMIRI NK. " acha uzembe uchaguzi waja hizi ni Siasa chafu.
Good luck kijana usipoteze imani yako.
 
Back
Top Bottom