Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar


powerful word mzizi mkavu,dah but this things hurt alot aisee.
 
lakini bado kuua sio solution, nadhani ni kulizika kwa kila jambo, mwanaume unatakiwa kuwa tayari kwa kila jambo...au mwanamke pia, maana yakitokea kwa upande wa pili, wanawake wao hujiua wenyewe bila kumdhuru wenzake

 
Kama ni kweli basi huyo mwanamke alifanya kitendo kibaya sana no doubt alipaswa kuumizwa sana. Poleni wanaume mnaokubali kulaghaiwa na hawa viumbe dhaifu, mkichapiwa kuweni wapole ka mmepata divisheni five!
 
Kuua haikuwa solution sahihi kwa kweli, pamoja na ufedhuli aloufanya huyo dada but kuua hapana
 
kuu na kujiua sio jibu kwani wote mnapata uchungu na haiwi fundisho kwa alie kukosea chamsingi umemgharamia mamilioni alafu analeta dharau tafuta pesa wape vijana wa tindikali tena wasisitize waakikishe inaingia machoni ili yapofuke awe kipofu na liuso libabuke ipasavyo alafu waendelee kupendana na jamaa mpya
 
Hilondilo tatizo hapondipo 2lipo lalakaja adui kapanda magugu maji katikati ya ngano.
 
kumgharamikia mwanamke, hasa hasa ambaye haujamuoa ni sawa na kujenga nyumba bondeni au kwenye hifadhi ya barabara.
Hatakama umeoa ndugu hawajamaa ni kunguni ukigusa2 ananuka labda awe mchamungu sana bilahivyo subiribalaa utauwa.
 
Kuua haikuwa solution sahihi kwa kweli, pamoja na ufedhuli aloufanya huyo dada but kuua hapana
Wewe kama ni Ke utakuwa ni dizaini za marehemu mpigwa risasi...au kama ni Me basi utakuwa CHOKO au PUNGA ZEZE...au ni mtoto wa kiume anayekula na kulala bure..hujui mikikimikiki na uchungu wa kutafuta PESA...better SHUT UP.
 

Tumia lugha fasaha, wote sio wahuni humu wa lugha za vijiweni! Ulikuwa na habari nzuri ya kutuhabarisha, lakini lugha yako!!!!
 
nasema hiviii,tumechokaaaa,wapigeni tuu!!!hela ngumu ati,watu tunataka return on investment
 
nitamsomesha mke wangu wa ndoa tu hawa wengine tutaishia kutumiana vocha
 
Huo ndiomshahara wa dhambi mtafute mungu kamata dini weka imani moyoni twenze2.
 
Kuua haikuwa solution sahihi kwa kweli, pamoja na ufedhuli aloufanya huyo dada but kuua hapana

Uko sahihi,kuua sio suluhisho la maana. Sasa ame-save nini! Ameiacha dunia kabla ya muda wake I can say so! Kokutona ndio tatizo la vijana wa siku hizi, huko vyuoni wengine wanashindwa kusoma kwa sababu ya wasichana na wana-disco!

Hujambo lakni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…