life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,037
Amin; Salama Salmini,eeh Mwenyezi Mungu tunusuru.........!
Kwa mafuriko haya ya kila mtu kubeba Silaha... Usalama utakuwepo ? Yaani uhasama mdogo tuu !! wawezakuponza!
Amin; Salama Salmini,eeh Mwenyezi Mungu tunusuru.........!
haswaaa mkuu..ùmenena vyema mkuu..kama ni wivu wa kimapenzi ni sawa kabisa maana hawa watu waliotoka ubavuni kwetu wanatuona sisi kama vitega uchumi vyao vile
A lady who have built his banking career for 9 good years...anakuja kuuawa kinyama kiasi hiki???RIP my co-worker and friend......RIP Alpha Alfred
muuaji ni huyo kaka mwenye shati jeupe la strips na yy sijui alipata wapi ujasiri alijipiga risasi ya chini ya kidevuHuyo ni dereva mwanaume, na muuaji.
Katika hao wadada mmoja ndo kafariki, na wawili wamejeruhiwa.
Huyo ni dereva mwanaume, na muuaji.
Katika hao wadada mmoja ndo kafariki, na wawili wamejeruhiwa.
mkuu hebu tufumbue vizuri, ameuawa na kaka yake au na mchumba wake?A lady who have built his banking career for 9 good years...anakuja kuuawa kinyama kiasi hiki???RIP my co-worker and friend......RIP Alpha Alfred
Jamaa -------- sana huyu, sasa kwa nini amemuua dereva asiye na hatiamuuaji ni huyo kaka mwenye shati jeupe la strips na yy sijui alipata wapi ujasiri alijipiga risasi ya chini ya kidevu
aisee yaani alikuwa amedhamiria kabisa kuua
Dereva ni yupi kati ya hao, amevaaje?
mkuu hebu tufumbue vizuri, ameuawa na kaka yake au na mchumba wake?