Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
mpaka dakika hii cjajua kisa na mkasa wala sielewi cjui shemeji cjui nini ah
na huyu jamaa muuaji alikuwa anajua hawa maadui zake wangekuja kwenye hii nyumba kwani watu wa hapo walikuw2a wanasema ile pick up ilipaki pale muda kidogo kisha ikaanza kuondoika kuifwata gari ndogo mara tu gari liliposimama getini kusibiri kufiunguliwa.
mm sijawah kuskia mlio wa risasi near by leo nimejionea mwenyewe.
Watu watatu,wameuwawa maeneo ya ilala bungoni kwa risasi.
Ilikuwa ni kama sinema ambapo alitokea kijana mmoja akashuka kwenye tex huku kashika bastola, alienda katika geti lililo karibu na hotei mpya ya M.M na kujibanza, gafla geti lilifunguliwa na gari kutoka ndani likiwa na watu wa nne, wanawake 3 na dereva mmoja mwanaume. Jamaa akiwa kajibanza alianza kushambulia ile gari na kuwaua watu wawili dereva na mwanamke mmoja na kuwajeruhi wengine wawili na kisha yeye kijipiga risasi na kufa hapo hapo.
Imeelezwa kuwa kati ya waliojeruhiwa ni mama mzazi na huyo msichana alieuliwa, pia msichana ni mdogo wake (hivyo wote ni mama na watoto wake wawili) ila mwanaume aliekuwa anaendesha gari hajajulikana alikuwa ni nani..
Imeelezwa kuwa yalikuwa ni mambo ya kimapenzi!
Khaa!! Hatari kwelikweli. Poleni wafiwa. Hivi kumpenda mtu lazima na yeye akupende wewe? :A S 39:Imeelezwa kuwa yalikuwa ni mambo ya kimapenzi!
Mkitaja bungoni nakumbua miaka ya mwanzoni mwa 80's kulikuwa na hotel mbili tu eneo hilo na nyingine cristal palace ilikuwa anaanza kujengwa.. Hiyo club ya wazee wakti huo ikiitwa Aviation. na YAMUNGU MENGI siku hizi New Yamungu mengi ambayo ndio ilikuwa barza yangu enzi hizo za Kampuni ya Tours ya Bungoni super auto garage chini ya maalim Ali.
vipi ulipata kujiri eneo la tukio????jamani msisikie hii habari nimeishuhudia kwaq macho imetisha sana nilijua ni yale ya westgate.
mimi mnataka kujua sababu ni nini hasa