Spirit ya kiarabu hii " IF YOU HURT ME, I KILL YOU AND I KILL MYSELF"
Likud vipi?... ivo na akina UFOO nao spirit ya kiarabu;- Mauaji kwa Silaha hayanaga UKOO,UKABILA,UNASABAA,UDUGU,UTAIFA,UHASAMA,UGOMVI,USHARI, nk..... Waswahili wanausemi " Hasira Hasara" [h=3]
Mwandishi wa ITV apigwa risasi mbili[/h]Posted Monday, October 14, 2013 | Na Waandishi Wetu, Mwananchi
Kibaha/Dar es Salaam. Mwandishi wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufoo Saro amejeruhiwa vibaya baada ya kupigwa risasi mbili jana alfajiri huko Kibamba, Dar es Salaam....
[h=3]
Mamia wa wamzika mama wa Ufoo Saro[/h]Posted Thursday, October 17, 2013 | Na Rehema Matowo na Joseph Zablon, Mwananchi
Kijiji cha Uraa Machame kilichoko wilayani Hai mkoani Kilimanjaro jana kilifurika mamia ya waombolezaji kutoka maeneo mbalimbali walioshiriki mazishi ya Anastazia Saro ambaye ni mama mzazi wa mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufoo Saro....
mwanzo»
Habari»
Siasa
[h=3]
Wazuiwa kumwona Ufoo, mamia wamuaga mama yake[/h]Posted Wednesday, October 16, 2013 | Na Joseph Zablon na Elizabeth Edward, Mwananchi
Mamia ya waombolezaji jana walimiminika Kibamba nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam kwa ajili ya kuaga mwili wa Anastazia Saro ambaye ni mama wa Mwandishi wa ITV, Ufoo Saro, aliyeuawa kwa kupigwa risasi mwishoni mwa wiki....