Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

Huyu jamaa alikuwa na shabaha kweli sio kama Mushi, maana amemuua msichana, mume aliyemuibia na yeye mwenyewe tena zote za kichwa.
Anaitwa Gabriery Munisi!
kiruuuu kitu cha machame tena?
 
Miezi hii kuelekea mwisho wa mwaka ni balaa tupu....Na ajali pia huwa zinaongezeka...
 
Hata kama ni mapenzi jamani mbona ni ujinga kuua na kujiua na hayo mapenzi huyapati tena........


Poleni sana wafiwa.

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!
 
Dereva ndo aliyekuwa anatafuna mzigo! Siyo wa kukodi gari ni yake aina ya surf
unajua unacho kiongea, wanawake ndiyo wanatabia ya kushobokea wasicho kijua! hapo umeongea upuuzi, ulimuona wakati anatafuna mzigo...kama hujui kitu kaa kimya kisha tutaongea habari kamili
 
unajua unacho kiongea, wanawake ndiyo wanatabia ya kushobokea wasicho kijua! hapo umeongea upuuzi, ulimuona wakati anatafuna mzigo...kama hujui kitu kaa kimya kisha tutaongea habari kamili

Ongeeni wakuu, mnafichaficha nini sasa nyie "mnaojua"?
 
Intelijensia ya Kova inaenda sambamba na ugawaji holela wa silaha. Keep it up Kova hadi utakapoona makaburi ni mengi kuliko watu hai

Chadema bhana! Mnalalamika eti silaha Kova amegawa sana! Mkipewa masharti magumu ya kumiliki silaha mnaandamana! Chadema hopeless!
 
jamani msisikie hii habari nimeishuhudia kwaq macho imetisha sana nilijua ni yale ya westgate.

mimi mnataka kujua sababu ni nini hasa

Nadhani ni wivu wa mapenzi uliopitiliza dada'angu.
 
Mafumanizi noma,masuala ya kugandiana hakuna sasa.Tunaenda na uchawi wa mzungu tu.Hapo anaenda kuamua Mungu hiyo kesi.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Nadhani ni wivu wa mapenzi uliopitiliza dada'angu.
Poleni wafiwa....!

Chakusikitisha ni kuwa baadhi ya wadada wanaonasifa kuwachanganya wanaume kiasi cha kusababisha mauaji...kama ni issue ya mapenzi ...hivi ni kweli huyo dada anayetuhumiwa katika sakata hili hakusikia issue ya UFO SARO kweli !?
 
Hivi ni Carol gani huyo tena, wengine tuna rafiki zetu wanaitwa Carol mnatutisha, ebu wekeni picha hapa, au muandike hata Sir Name bana!
jamani me nimefanya kunukuu kwenye hababri na kwa jina hilo limenigusa sana.....
 
Back
Top Bottom