Jodeo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 1,286
- 1,326
Mwanzo 6:2Inakuwaje sasa kiumbe kilichoumbwa kwa moto (Lucifer/Malaika) kuwa na na hisia za kibaiolojia hadi atamani kiumbe kilichoumbwa kwa udongo (Binadamu)?
Inamaana Malaika kabla ya kuasi nao walikuwa wana Humans biological hormones kuratibu gametiume/gametiuke hadi wawe na ashki/nyege za kugegedana na Binadamu?
Mbona kama kamba hii
"wana wa Mungu wakawaona kuwa hao binti za wanadamu walikuwa wazuri wa sura, wakaoa yeyote miongoni mwao waliyemchagua."
Wana wa Mungu = Malaika(Hao waasi)