Mauaji ya visasi

Inakuwaje sasa kiumbe kilichoumbwa kwa moto (Lucifer/Malaika) kuwa na na hisia za kibaiolojia hadi atamani kiumbe kilichoumbwa kwa udongo (Binadamu)?

Inamaana Malaika kabla ya kuasi nao walikuwa wana Humans biological hormones kuratibu gametiume/gametiuke hadi wawe na ashki/nyege za kugegedana na Binadamu?

Mbona kama kamba hii
Mwanzo 6:2

"wana wa Mungu wakawaona kuwa hao binti za wanadamu walikuwa wazuri wa sura, wakaoa yeyote miongoni mwao waliyemchagua."

Wana wa Mungu = Malaika(Hao waasi)
 
Hapana familia ipate fidia ya haki
Umejuaje Kama hawajamalizana pembeni? Issues nyingine hufanyika undercover sio lazima wewe raia utangaziwe!!

Hivi kwa Akili yako bwana mshana kwa Tukio alilofanyiwa Mzee Mwamwindi na serikali hii hii ya CCM ,mwanae huyo pichani (Amani) angethubutu kuwa mwanachama mtiifu wa chama tawala kiasi Cha kuja kuwa meya wa manispaa Iringa,?

Ndio nakumbuka kisa Cha mkuu wa Sasa wa mkoa wa Mwanza,ambaye nakumbuka alikuwa akizunguka maeneo mbalimbali nchini miaka ya tisini na kutangaza kuwa serikali ya Tanzania ilimuua baba yake(aliyefariki uingereza punde baada ya kujiuzulu uwaziri wa fedha na kutangaza kuwania urais kwa chama pinzani) Kisha baadae akawa mbunge kwa chama hichohicho alichodai kilimuua baba yake na Kisha uwaziri(kumbuka ile kashfa ya kuibiwa bastola hotelini morogoro) na Sasa ukuu wa mkoa,wafikiri hayo yaja kwa bahati nasibu tu?
Jiongeze kaka,Akili ni nywele...
 
Umejuaje Kama hawajamalizana pembeni? Issues nyingine hufanyika undercover sio lazima wewe raia utangaziwe!!

Hivi kwa Akili yako bwana mshana kwa Tukio alilofanyiwa Mzee Mwamwindi na serikali hii hii ya CCM ,mwanae huyo pichani (Amani) angethubutu kuwa mwanachama mtiifu wa chama tawala kiasi Cha kuja kuwa meya wa manispaa Iringa,?

Ndio nakumbuka kisa Cha mkuu wa Sasa wa mkoa wa Mwanza,ambaye nakumbuka alikuwa akizunguka maeneo mbalimbali nchini miaka ya tisini na kutangaza kuwa serikali ya Tanzania ilimuua baba yake(aliyefariki uingereza punde baada ya kujiuzulu uwaziri wa fedha na kutangaza kuwania urais kwa chama pinzani) Kisha baadae akawa mbunge kwa chama hichohicho alichodai kilimuua baba yake na Kisha uwaziri(kumbuka ile kashfa ya kuibiwa bastola hotelini morogoro) na Sasa ukuu wa mkoa,wafikiri hayo yaja kwa bahati nasibu tu?
Jiongeze kaka,Akili ni nywele...
Ungesoma vizuri ungeelewa nilichoandika! Nimetumia maneno FIDIA YA HAKI na si hizi fidia za michongo! Na labda niongeze neno FIDIA YA KISHERIA...Kuna siku hao watoa fidia za michongo hawatakuwepo mamlakani! Hiyo ndio point yangu
 
Ungesoma vizuri ungeelewa nilichoandika! Nimetumia maneno FIDIA YA HAKI na si hizi fidia za michongo! Na labda niongeze neno FIDIA YA KISHERIA...Kuna siku hao watoa fidia za michongo hawatakuwepo mamlakani! Hiyo ndio point yangu
Labda unielimishe,FIDIA YA HAKI ni nini?
 
Sio kwa katiba yenu hii ya kuwa watendaji wa mhimili wa mahakama wanapokea maagizo toka mhimili mmoja uliojichimbia chini (deep state)
Kila kitu kina mwisho wake, kama sasa wakoloni wanalipa mabilioni ya dola ya fidia kwenye nchi makoloni yao miaka hiyo kwa sababu ya mauaji, mateso ukatili na unyanyasaji hata huku kuna siku itawadia
 
Kila kitu kina mwisho wake, kama sasa wakoloni wanalipa mabilioni ya dola ya fidia kwenye nchi makoloni yao miaka hiyo kwa sababu ya mauaji, mateso ukatili na unyanyasaji hata huku kuna siku itawadia
Sasa huku mbona wakoloni hawajalipa?
 
Ukijipa muda utagundua kuwa mtu anaekukosea kwa makusudi na bila kujali hisia zako akiwa na dhamira mbaya huwa anaishia pabaya pia. Hakuna mwanadamu mwenye jeuri kuliko nguvu za ulimwengu ambazo zinasimamiwa na MUNGU.

So ni vema kujipa muda, mtu amekufanyia ubaya kwa kusudi then kubali yaishe kisasi muachie MUNGU. Unaweza dhania kumkata na panga au kumchoma kisu itakuwa ni adhabu kali kwake kumbe wala ile sio kitu ila mkabidhi kwa aliyemuumba atawajibishwa huko.

Aiseeee maisha yanapoanza kumnyoosha mtu aliyekukosea na kukuumiza kiasi kwamba unakaa chini unajiuliza hivi MUNGU anaona ukorofi unaofanyiwa ama la? Kazi ya kunyooshwa ikianza utatamani kumpigia MUNGU magoti amuonee huruma. Wewe kaa kimya mwache ajifanye mjanja. Mkalie mbali na kata nae mazoea na mawasiliano basi. Dunia ikianza kumfunza mtu wa hivyo aiseee hakuna wa kuamulia. Maana ukishika panga ukataka kumkata watu wanaweza ingilia akatetewa, au ukisema umtumie wajuba wamdhuru still anaweza escape au ukajagundulika msala ukakurudia, au ukamwekea figisu watu wanaokuheshimu wakakusihi umsamehe. Ila Maisha sasa yakianza kumnyoosha mtajikuta ni ninyi wawili tu ndio mkitazamana mnajua kuwa sasa muda wa malipo umefika na nani analipia hesabu yake ya madhambi aliyomkosea mwenzake.

Hii kitu hata katika mahusiano ipo sana. Mwanaume au mwanamke anamuacha mwenzake kipindi ambacho hakukuwa na sababu yoyote ya msingi na kulikuwa na utulivu tu au anamfanyia mwenzake matukio ya kuvunja moyo na kuumiza hisia kwa makusudi kabisa then anategemea mwenzake ataelewa tu na kupuuzia maisha yaendelee. Watu wa hivi huko wanakokwenda MUNGU huwa anawapa wanachotaka ila anawanyima wanachostahili sababu unachostahili ndicho kitakupa furaha ila unachotaka kitakufanya ujiskie vizuri kwa muda tu then baadae balaa linaanza.


S
Karma as usual
 
Kaini kumuua mdogo wake, kisa kikuu siyo sadaka but ni mwanamke aliyepaswa kuolewa na mdogo wake


Kaini siyo mtoto wa Adam ?

Visa vya mauaji ni vingi na miaka hii vimezidi

Just go ...
Biblia gani imeandika?
 
Mkuu; Tunda lilozungumzwa kwenye Bilblia sio "Tunda" tunaloshabikia kuliwa kimasihara.
Ingekuwa ni hilo, Mbona ilishatolewa ruhusa tangu awali kwa maneno: Nendeni mkazae (Adam; Me na Eva/Hawa;Ke )na kuitiisha/mkaijaze nchi(.Mw.1:28) Je, wangezaanaje kama sio kwa kujamiiana?
Tunda hapo ni Kukosa Utii i.e. Unaambia au unaAmriwa usifanye hiki we unapuuzia na unafanya(Umeasi maagizo) kwa hiyo wewe sio Mtiifu.
Asante Mthiolojia wengine ni wapotoshaji tu..
Hao wanaitwa kizazi cha nyoka wanawaza mabaya tu
 
JamiiForums-169957608.jpg
 
Back
Top Bottom