Mauaji ya kutisha sudan kusini

Mwan mpambanaji

JF-Expert Member
Apr 3, 2008
482
131
Ndugu JF
lile taifa changa kuliko yote la sudan kusini,wameanza kuuana na kuchinjana kama kuku,habari za uhakika zinasema zaidi ya watu 200 wameuwawa kati ya wafuasi wa serikali na wale wanaomtii mwanajeshi aliasi
sijui nini hatma ya Africa,maana kila siku kuna jipya,natamani na natoa wito kwa huyu mwanajeshi muasi aache kuua watu,African must unite
I dream for united states of africa
 
Ndugu JF
lile taifa changa kuliko yote la sudan kusini,wameanza kuuana na kuchinjana kama kuku,habari za uhakika zinasema zaidi ya watu 200 wameuwawa kati ya wafuasi wa serikali na wale wanaomtii mwanajeshi aliasi
sijui nini hatma ya Africa,maana kila siku kuna jipya,natamani na natoa wito kwa huyu mwanajeshi muasi aache kuua watu,African must unite
I dream for united states of africa

Habari mbaya sana hiyo! Poor Africa....
 

Mkuu nimecheki tovuti ya BBC nikaona hii habari kweli ipo, Poor Africa.

South Sudan Jonglei attack by Athor rebels 'killed 200'

Some 200 people were killed in a "massacre" in south Sudan last week, officials say. Most of the dead were civilians, including children and others chased into a river by rebels, a minister said.
Previous estimates said that about 100 people had died when fighters loyal to rebel leader George Athor attacked.
The deaths come as the region prepares for independence from the north after last month's referendum.

Click for Source
 
Ndugu JF
lile taifa changa kuliko yote la sudan kusini,wameanza kuuana na kuchinjana kama kuku,habari za uhakika zinasema zaidi ya watu 200 wameuwawa kati ya wafuasi wa serikali na wale wanaomtii mwanajeshi aliasi
sijui nini hatma ya Africa,maana kila siku kuna jipya,natamani na natoa wito kwa huyu mwanajeshi muasi aache kuua watu,African must unite
I dream for united states of africa

Tatizo kubwa ndio hilo mnataka kuungana badala ya kuwa kitu kimoja katika kutatua matatizo bila hii miungano uchwara. Nchi za magharibi wanashabikia hii miungano kwa sababu wanataka kuwatawala vizuri zaidi ni sawa wakati ule walipoligawa bara la Afrika ili walitawale vizuri.


BTW mauaji haya ni mbinu za serikali kutaka kuonyesha matatizo ambayo yatawakumba pindi wakijitenga, Waarabu na waafrika weusi nchini Sudan hawawezi kukaa meza moja.
 
Du kweli nimeamini sisi watu weusi wivu umetujaa, tukiambiwa tujitawale tena tunaleta vita haya!
 
Wakiendelea kuuana itabidi warudishwe kundini ili watawaliwe tena kwa manufaa ya nchi yao; inawezakana somebody somewhere anachochea mauaji ili kujustify kwamba they are not capable of governing themselves
 
Back
Top Bottom