Mauaji: Nini kinamfanya mtu aamue kuua?

Mauaji: Nini kinamfanya mtu aamue kuua?

ShesRise_1

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2025
Posts
17,740
Reaction score
42,173
Mauaji, nini humfanya mtu aamue kumuua mtu mwingine?

Hivi karibuni tumeona visa vya mauaji vikiongezeka, hasa vile vinavyohusishwa na siasa hapa Tanzania.

Kuna maswali mengi yananijia kichwani

Je, haya mauaji hufanywa na mtu mmoja au huwa ni kundi la watu?

Ni nini hutokea kwenye akili ya mtu mpaka afikie hatua ya kumuua binadamu mwenzake?

Mimi binafsi damu inanitisha

Nikiona damu nyingi napata trauma kabisa

Sasa hawa wanaoua, tena kwa ukatili, huwa hawahisi chochote?

Anapomkata mtu, kumpiga risasi au kumchoma moto, halafu yule mtu anaomba msaada au huruma, kweli moyo hauwaumi?

Baada ya tukio, huwa hawapati mawazo, ndoto mbaya au kujilaumu?

Kuna msemo unasema, Ukianza kula nyama ya mtu huachi
Huo msemo una maana gani?

Kwa nini kuna watu wanaonekana kuua mara kwa mara bila kuacha?

Na ukimuua mtu halafu ukaiona familia yake, watoto wake au wazazi wake wanalia kwa uchungu, hilo halikugusi kabisa mpaka ukaweza kuendelea kufanya mauaji mengine?

Ukiachana na kesi ambazo mtu anahukumiwa na mahakama kwa mujibu wa sheria (na si kwa kusingiziwa), hawa wanaoua kiholela huwa hawana utu?

Hawana huruma? Hawana dhamiri? Au kuna kitu kinabadilika kwenye akili yao mpaka wanaona kuua ni jambo la kawaida?

Kila mtu atakufa siku moja(Haki hii)

Sasa kwa nini umpe mtu maumivu ya kukatwa, kupigwa risasi au kuchomwa moto wakati angekufa kwa wakati wake?

Kwa mtazamo wenu, nini hasa kinamsukuma mtu kuwa muuaji? Ni malezi, mazingira, siasa, pesa, chuki, magonjwa ya akili au kuna kitu kingine?

Karibuni kwa hoja

ShesRise_1 🤚
 
Nikiona damu nyingi napata trauma
Any bad history?

You have such a pure and innocent heart ndo maana huwa na....(siri)

In short kuna watu they're heartless, mimi mpk nifikie hatua ya kumuuwa mtu, labda atake kudhuru mtu wangu wa karibu... Hapo lazima niwe beast... Ila hivi hivi tuu sina huo upepo.. Eti mali, sijui kafara, sijui wadhifa siwezi kabisa
 
Any bad history?

You have such a pure and innocent heart ndo maana huwa na....(siri)
.......
In short kuna watu they're heartless, mimi mpk nifikie hatua ya kumuuwa mtu, labda atake kudhuru mtu wangu wa karibu... Hapo lazima niwe beast... Ila hivi hivi tuu sina huo upepo.. Eti mali, sijui kafara, sijui wadhifa siwezi kabisa
Unaweza kuua mtu ili kuokoa mtu mwingine
 
Screenshot_20251217-065939~2.png
e,
 
CCM NI WAPUMBAVU SANA MKUU, LAKINI NITAKUJIBU KWA KIFUPI ANAEVUNJA UTULIVU/AMANI NA MAUAJI....

1. Anayeteka watanzania Wenzetu akina Soka, Polepole, Mdude, Chaula nk.

2. Anayepiga watu Risasi Akina TUNDU LISSU, SATIVA AKWILINA MAWAZO NK

3. Anayezuia haki ya Kikatiba ya Mikitano ya Vyama vya siasa.
(Kushiriki mikutano ya hadhara na Mikutano ya ndani.

4. Anayezuia Maandamano ambayo ni haki ya kikatiba ya Tanzania.

5. Anayezuia na Kupora Haki ya watanganyika ya kuchagua kiongozi wanaye mtaka.

6.Anayeficha Kila aina ya mikataba, Bandari, Ardhi, Dhahabu, Gesi nk.

7. Anayekandamiza uhuru wa vyombo vya Habari

CCM WAMETUONA WATANGANYIKA NI MALOFA SANA


AMKENI WATANGANYIKA.
 
Mauaji, nini humfanya mtu aamue kumuua mtu mwingine?

Hivi karibuni tumeona visa vya mauaji vikiongezeka, hasa vile vinavyohusishwa na siasa hapa Tanzania.

Kuna maswali mengi yananijia kichwani

Je, haya mauaji hufanywa na mtu mmoja au huwa ni kundi la watu?

Ni nini hutokea kwenye akili ya mtu mpaka afikie hatua ya kumuua binadamu mwenzake?

Mimi binafsi damu inanitisha

Nikiona damu nyingi napata trauma kabisa

Sasa hawa wanaoua, tena kwa ukatili, huwa hawahisi chochote?

Anapomkata mtu, kumpiga risasi au kumchoma moto, halafu yule mtu anaomba msaada au huruma, kweli moyo hauwaumi?

Baada ya tukio, huwa hawapati mawazo, ndoto mbaya au kujilaumu?

Kuna msemo unasema, Ukianza kula nyama ya mtu huachi
Huo msemo una maana gani?

Kwa nini kuna watu wanaonekana kuua mara kwa mara bila kuacha?

Na ukimuua mtu halafu ukaiona familia yake, watoto wake au wazazi wake wanalia kwa uchungu, hilo halikugusi kabisa mpaka ukaweza kuendelea kufanya mauaji mengine?

Ukiachana na kesi ambazo mtu anahukumiwa na mahakama kwa mujibu wa sheria (na si kwa kusingiziwa), hawa wanaoua kiholela huwa hawana utu?

Hawana huruma? Hawana dhamiri? Au kuna kitu kinabadilika kwenye akili yao mpaka wanaona kuua ni jambo la kawaida?

Kila mtu atakufa siku moja(Haki hii)

Sasa kwa nini umpe mtu maumivu ya kukatwa, kupigwa risasi au kuchomwa moto wakati angekufa kwa wakati wake?

Kwa mtazamo wenu, nini hasa kinamsukuma mtu kuwa muuaji? Ni malezi, mazingira, siasa, pesa, chuki, magonjwa ya akili au kuna kitu kingine?

Karibuni kwa hoja

ShesRise_1 🤚
Mauaji husababishwa na mchanganyiko wa sababu za kisaikolojia, kijamii, mazingira, na kibaolojia ambazo humfanya mtu aone kuwa kutoa uhai wa mwingine ndiyo njia pekee au ya mwisho ya kutatua tatizo au kukidhi haja yake.

Hakuna sababu moja tu inayomfanya mtu aamue kumuua mtu mwingine, bali mara nyingi ni mkusanyiko wa shinikizo mbalimbali za ndani na nje.
 
Mauaji, nini humfanya mtu aamue kumuua mtu mwingine?

Hivi karibuni tumeona visa vya mauaji vikiongezeka, hasa vile vinavyohusishwa na siasa hapa Tanzania.

Kuna maswali mengi yananijia kichwani

Je, haya mauaji hufanywa na mtu mmoja au huwa ni kundi la watu?

Ni nini hutokea kwenye akili ya mtu mpaka afikie hatua ya kumuua binadamu mwenzake?

Mimi binafsi damu inanitisha

Nikiona damu nyingi napata trauma kabisa

Sasa hawa wanaoua, tena kwa ukatili, huwa hawahisi chochote?

Anapomkata mtu, kumpiga risasi au kumchoma moto, halafu yule mtu anaomba msaada au huruma, kweli moyo hauwaumi?

Baada ya tukio, huwa hawapati mawazo, ndoto mbaya au kujilaumu?

Kuna msemo unasema, Ukianza kula nyama ya mtu huachi
Huo msemo una maana gani?

Kwa nini kuna watu wanaonekana kuua mara kwa mara bila kuacha?

Na ukimuua mtu halafu ukaiona familia yake, watoto wake au wazazi wake wanalia kwa uchungu, hilo halikugusi kabisa mpaka ukaweza kuendelea kufanya mauaji mengine?

Ukiachana na kesi ambazo mtu anahukumiwa na mahakama kwa mujibu wa sheria (na si kwa kusingiziwa), hawa wanaoua kiholela huwa hawana utu?

Hawana huruma? Hawana dhamiri? Au kuna kitu kinabadilika kwenye akili yao mpaka wanaona kuua ni jambo la kawaida?

Kila mtu atakufa siku moja(Haki hii)

Sasa kwa nini umpe mtu maumivu ya kukatwa, kupigwa risasi au kuchomwa moto wakati angekufa kwa wakati wake?

Kwa mtazamo wenu, nini hasa kinamsukuma mtu kuwa muuaji? Ni malezi, mazingira, siasa, pesa, chuki, magonjwa ya akili au kuna kitu kingine?

Karibuni kwa hoja

ShesRise_1 🤚
Jibu hili hapa "Ni malezi, mazingira, siasa, pesa, chuki, magonjwa ya akili"...
 
Watu wana roho ngumu,,, 2022 kuna mauwaji yalitokea huko katavi ya watu wawili kukatwa shingo, huezi amini alifanya unyama alishiriki mpaka kuchimba kaburi. Baada ya siku 3 ndipo aligundulika kua ye ndie kauwa.
 
Back
Top Bottom