SawaCCM NI WAPUMBAVU SANA MKUU, LAKINI NITAKUJIBU KWA KIFUPI ANAEVUNJA UTULIVU/AMANI NA MAUAJI....
1. Anayeteka watanzania Wenzetu akina Soka, Polepole, Mdude, Chaula nk.
2. Anayepiga watu Risasi Akina TUNDU LISSU, SATIVA AKWILINA MAWAZO NK
3. Anayezuia haki ya Kikatiba ya Mikitano ya Vyama vya siasa.
(Kushiriki mikutano ya hadhara na Mikutano ya ndani.
4. Anayezuia Maandamano ambayo ni haki ya kikatiba ya Tanzania.
5. Anayezuia na Kupora Haki ya watanganyika ya kuchagua kiongozi wanaye mtaka.
6.Anayeficha Kila aina ya mikataba, Bandari, Ardhi, Dhahabu, Gesi nk.
7. Anayekandamiza uhuru wa vyombo vya Habari
CCM WAMETUONA WATANGANYIKA NI MALOFA SANA
AMKENI WATANGANYIKA.
Hakuna option nyingine bora inayoweza kutumika zaidi ya mauwaji?Visasi
Mapenzi
Wizi
Dhuluma
Tofauti za kiitikadi
Ushirikina
Ndo sababu kuu za mtu kuua !
Ooh sawa baada ya kufanya mauwaji je muuwaji hua hahisi hatia ?Mauaji husababishwa na mchanganyiko wa sababu za kisaikolojia, kijamii, mazingira, na kibaolojia ambazo humfanya mtu aone kuwa kutoa uhai wa mwingine ndiyo njia pekee au ya mwisho ya kutatua tatizo au kukidhi haja yake.
Hakuna sababu moja tu inayomfanya mtu aamue kumuua mtu mwingine, bali mara nyingi ni mkusanyiko wa shinikizo mbalimbali za ndani na nje.
So sadTAMAA YA MADARAKA
Kuhusu?Unataka kujua?
Kama unaweza kuuwa? Si ulisema kuna uhakika?Kuhusu?
So hakuna majuto kwa muuaji ?Jibu hili hapa "Ni malezi, mazingira, siasa, pesa, chuki, magonjwa ya akili"...
Hakuna namna nyingine bila kudhulumu uhai wa wengine?MONEY
POWER
RESPECT
Vyote kwa pamoja hapo juu ni sababu kubwa kwa mauaji ya kisiasa.
Maswali yako bhna dahKama unaweza kuuwa? Si ulisema kuna uhakika?
Ukifanya uhaini, ukaanza kuchoma mali za watu, kuiba mali za watu, kukata watu vidole
Wewe umevuka mipaka ya kuendelea kubaki hai unastahili kupigwa risasi na maiti yako ikatupwe mbali isionekane maana unakua ni laana hapa duniani.
Hakuna namna ya kuwasiliana na Shetani tumuulize kama kweli yeye ndio hutuma watu kufanya hayaSHETANI MBAYA SANA.
that's itDoes killing once make someone want to kill again?

Walipogundua alishiriki watuWatu wana roho ngumu,,, 2022 kuna mauwaji yalitokea huko katavi ya watu wawili kukatwa shingo, huezi amini alifanya unyama alishiriki mpaka kuchimba kaburi. Baada ya siku 3 ndipo aligundulika kua ye ndie kauwa.
It's very shameful and sad for Chehe J. to be directly implicated in the murder of his own innocent driver.

Huyo aliyetumwa kuuaOoh sawa baada ya kufanya mauwaji je muuwaji hua hahisi hatia ?
Akiua anapata amani?
Na hata hajutii?
Hoja gani mkuu 'ShesRise', maana naona umechanganya maharage, makande, njegere, wali,n.k., ndani ya dishi hilo moja.Kwa mtazamo wenu, nini hasa kinamsukuma mtu kuwa muuaji? Ni malezi, mazingira, siasa, pesa, chuki, magonjwa ya akili au kuna kitu kingine?
Karibuni kwa hoja
Okaythat's it![]()