Matusi katika picha ya tangazo la Wema / Airtel

Matusi katika picha ya tangazo la Wema / Airtel

masssaiboi

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2009
Posts
636
Reaction score
134
Sijui kama ni mie mwenyewe ninaefikiria hivi lkn herufi zilizopo ktk hiyo picha yaani "WTF" ni initials wanazotumia watu ktk chat rooms na zinasimama badala ya neno " what the f**k"
Sasa kwa waliotengeneza hilo tangazo ama wamefanya makusudi au ni mabumbuwazi.
So kama watu wa Airtel mpo humu ndani please sahihisheni hilo kosa asap kwani haileti picha nzuri kwa kampuni.

attachment.php
 

Attachments

  • AIRTEL BURE.jpg
    AIRTEL BURE.jpg
    77.2 KB · Views: 1,736
Sijui kama ni mie mwenyewe ninaefikiria hivi lkn herufi zilizopo ktk hiyo picha yaani "WTF" ni initials wanazotumia watu ktk chat rooms na zinasimama badala ya neno " what the f**k"
Sasa kwa waliotengeneza hilo tangazo ama wamefanya makusudi au ni mabumbuwazi.
So kama watu wa Airtel mpo humu ndani please sahihisheni hilo kosa asap kwani haileti picha nzuri kwa kampuni.

http://1.bp.blogspot.com/-Obkx11P9cdI/U196iCQMgAI/AAAAAAAAYWs/ws1u-LxutXM/s1600/AIRTEL+BURE.jpg

umeelewa maana yake au basi tu fikira zako umezipeleka huko? WhatsapTwitterFacebook.
 
Lkn inabaki pale kwamba hilo neno ni tusi, na watengenezaji sio kweli hawalijui hilo
 
Sijui kama ni mie mwenyewe ninaefikiria hivi lkn herufi zilizopo ktk hiyo picha yaani "WTF" ni initials wanazotumia watu ktk chat rooms na zinasimama badala ya neno " what the f**k"
Sasa kwa waliotengeneza hilo tangazo ama wamefanya makusudi au ni mabumbuwazi.
So kama watu wa Airtel mpo humu ndani please sahihisheni hilo kosa asap kwani haileti picha nzuri kwa kampuni.

http://1.bp.blogspot.com/-Obkx11P9cdI/U196iCQMgAI/AAAAAAAAYWs/ws1u-LxutXM/s1600/AIRTEL+BURE.jpg
Inawezekana una shida ya kuelewa kila herufi iliyowekwa pale in picha inayotoa tafsiri inapresent nini sasa cjui ulitaka kuleta nini hapa,binafsi sioni hoja hapa
 
Lkn inabaki pale kwamba hilo neno ni tusi, na watengenezaji sio kweli hawalijui hilo
Hebu wacha uboya wewe,nani kakwambia ile taswira pale imekaa kitusitusi? wacha kutafsiri maneno unavyotaka wewe ,na maandishi yale hayawezi kutolewa ili kuridhisha msimamo wako hasi!znz kuna eneo neno au jina 'tembo' kwao ni tusi lakini hawajawahiu kusema ile TEMBO HOTEL ibadilishwe jina inawatusi dada/mama/bibi zetu! japo ya kata jiongezee maarifa kidogo!
WTF mie naweza nikaifanya what the feeling/fun
 
we ulikuwa unawashwa kuweka thread tu humu huna lolote
 
Sijui kama ni mie mwenyewe ninaefikiria hivi lkn herufi zilizopo ktk hiyo picha yaani "WTF" ni initials wanazotumia watu ktk chat rooms na zinasimama badala ya neno " what the f**k"
Sasa kwa waliotengeneza hilo tangazo ama wamefanya makusudi au ni mabumbuwazi.
So kama watu wa Airtel mpo humu ndani please sahihisheni hilo kosa asap kwani haileti picha nzuri kwa kampuni.

http://1.bp.blogspot.com/-Obkx11P9cdI/U196iCQMgAI/AAAAAAAAYWs/ws1u-LxutXM/s1600/AIRTEL+BURE.jpg

una matatizo ww!
 
Back
Top Bottom