4. Ni vema kutumia lugha isiyo ya matusi ili hata baada ya uchaguzi viongozi waendelee kuongea pamoja badala ya kukwepana.
This message is hidden because Mahesabu is on your ignore list.
View Post
Remove user from ignore list
kuna ambalo amekosea hapo?.....me i see GREEN.....! GREEN LIGHT......GREEN MEANS GO.....KINANA GO.....TALK POINTS NOT PEOPLE...WHAT WILL YOU DO...AND NOT WHAT OTHERS DIDNT.....! TALK WHAT GOOD YOU DID.....AND NOT WHAT OTHERS FAILURES....!
MWANAMUME RIJALI HUZUNGUMZIA ATAKAYOMFANYIA MWALI SIO KUONGELEA MADHAIFU YA WANAUME WENGINE.....AONGELEAYE MADHAIFU YA MWINGINE HUYO DOMO ZEGE HANA SERA...(HATA KAMA MADHAIFU KWELI YAPO)
Lugha ya Kistaarabu ni Ipi? Hivi Mwizi utamwitaje?
Taarifa ya ITV nayo wametangaza:
- Kinana anadai Kuzusha; Kukebehi; Kuonyesha dharau vyote haviruhusiwi
- CHADEMA Wamezua, wameshutumu, wamedharau
- Wamehusicha CCM na EPA
Huyu Jamaa anaonekana ametulia na yuko so confident as if anahold nguvu zote za CCM . . . .
Hayo matusi yanayodaiwa ni yapi? Kuna anayejua matusi yanayozungumziwa?
Taarifa ya ITV nayo wametangaza:
- Kinana anadai Kuzusha; Kukebehi; Kuonyesha dharau vyote haviruhusiwi
- CHADEMA Wamezua, wameshutumu, wamedharau
- Wamehusicha CCM na EPA
Huyu Jamaa anaonekana ametulia na yuko so confident as if anahold nguvu zote za CCM . . . .
Katika Taarifa ya Habari ya Channel 10 na TBC1 Meneja wa Kampeni wa CCM Abdulhaman Kinana amedai:
1. CHADEMA wamevunja maadili waliyosaini kwa kutumia lugha isiyo ya kistaarabu
2. Marando ni Mwanasheria Kaongelea mambo ya EPA yaliyo mahakamani kinyume na Ethics za Taaluma
3. CCM haiwezi kuongelea mambo yaliyo Mahakamani
4. Ni vema kutumia lugha isiyo ya matusi ili hata baada ya uchaguzi viongozi waendelee kuongea pamoja badala ya kukwepana.
5. Mbatia wa NCCR-Mageuzi naye anadai vyama viongelee hoja na si Watu - Kuzindua Kampeni baada ya Ramadhani (Mfungo)
Hivi uraia w Kinana na Somalia umefikia wapi?
Mpuuzeni Kinana kwa Sababu ni Mpuuzi
Taarifa ya ITV nayo wametangaza:
- Kinana anadai Kuzusha; Kukebehi; Kuonyesha dharau vyote haviruhusiwi
- CHADEMA Wamezua, wameshutumu, wamedharau
- Wamehusicha CCM na EPA
Huyu Jamaa anaonekana ametulia na yuko so confident as if anahold nguvu zote za CCM . . . .