Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 3,424
- 10,594
Sijui jinsia yake Sina uhakikaWewe unaamini huyu Ni wakike anatafuta mume kweli?
Akili yake na malezi yake vipo sawa vyote?
Sometimes age is just a number kwakuwa being in right place at right time .Mwanamke akishafikisha 25 hana mtu wa kumuoa, akazane kusoma. Apige masters na akaazanae na Phd angalau akifika 30s awe nayo. Kuna binti nilisoma naye Bachelors alimaliza akiwa 23 akapata kazi l. Alipofika 25 hana mtu yupo yupo kaka zake wakamtafutia masters Marekani hauwezi amini yule binti amepata Phd yupo 32. Hadi mimi mwenyewe nilitaka kuchumbia aisee sema class mate wangu yupo ofisi ya CAG akachukua jiko.
Umewajaribu wangapi Mkuu ?Majority hawana upendo serious
Dr hebu niache🤣.ni wachache ila najiskia hivo tuUmewajaribu wangapi Mkuu ?
Maana JF tupo wanachama lakitano na wageni zaidi ya million moja
Urafiki tu..unajua hata mahusiano hayawezi anza bila kuwa marafiki,kujuana..Niko pm kwakoMkuu taratibu..ila kama unataka urafiki karibu..
Kuhusu mapenzi hapana,nshayakatia tamaa.labda miaka michache ijayo
Sawa mkuu ila mwanamke umri umeenda unakuta hana ujuzi wala elimu. Au hata kama ana elimu hana kazi na yupo kwao tu na hana utaalamu hata wa kushona nguo wala kufuga kuku. Huyu unadhani nani anamhudumia ? Ni ngumu sana kumshawishi mwanaume mwenye uwezo amuweke ndani. Labda ambao wana mizigo mizito na migumu.Sometimes age is just a number kwakuwa being in right place at right time .
Unafikiria hiyo masters wangapi wanaweza Ku-afford kuisoma ?
Siku zote ukiwa unatoka Familia bora ur future will shine and be bright .
Kasoma Masters maandishi matatu USA .
Kaolewa na mfanyakazi kutoka kwa CAG .
Ukifatilia hapo is about network , family and etc .
Wazo lako ni bora kwa wale wanaotoka good family with high income
Kweli mkuu,kuna wengine hawawezi kuanzisha Uzi na kusema wanatafuta mme,ile aiba ya kike.Upo sahihi Mimi mwenyewe huwa nachungulia Love connect kwakuwa najua katika comment naweza kupata mke wa pili kupitia comment
Msiwe hivo mkuu..mrekebisheni tu anapokosea
Vipi kama atapatikana wa Kanda ya ziwa?Ewaa wamekumbukwa
Una watoto wangapi? Mbona wewe hujasema?Im looking for a serious relationship .Matured single christian Man for holly marriage .
Must be a reformed Christian [Born Again]
Aged 40 to 45 ,with no kids / not more than one kid
Awe na Afya njema
Awe mwenye na nia ya dhati ya kuoa
Awe amemaliza ujana wake na anahitaji kusettle na kutengeneza familia
Awe mkweli na mcha Mungu
Awe dsm ,dodoma,morogoro,tanga
Naitwa mercy ,30s by age
Naishi pwani kibaha,mkristo nimeokoka
Mwajiriwa ,najitegemea ,
Only serious please .
Sawa karibu kakaUrafiki tu..unajua hata mahusiano hayawezi anza bila kuwa marafiki,kujuana..Niko pm kwako
Mume anamtaka yeye, viwango unamuwekea wewe?Umri huo tayari washaoa, punguza umri na hilo la born again; as long as ni mkristo inatosha.
🤔🤔Mmmm interesting...Stop being negative..badala yake hoji kwanini?
Nina story behind this
Umri wake unapanda na kushuka utafikiri vipimo vya jotoridiMwaka jana mercy ulikuwa na miaka 35, sasahivi una miaka 30! Au sijaelewa!
Duh, Wazaramo hamna break kwenye midomo yenu?Kwa gubu hili, huambiliki ndio maana unarandaranda mitandaoni. Baki na gubu lako hadi utakapotaka anaepumua tu. We ungekuwa born again si ungepata huko kanisani kwako ila gubu dada ndio maana unakimbiwa.
Kurekebishana kunaendana na kuelezana ukweli.Msiwe hivo mkuu..mrekebisheni tu anapokosea
Hakuna aliekamilika
Nyie ndio wabaguzi wakubwa! Mlinikosesha Swalhina wangu wapuuzi wakubwa nyie! Nikaja kukutana naye jua limempiga wakatoa machozi!Sisi waislamu tunabaguliwa nchi hii hadi kwenye ndoa
Mfumo Kristo is real!😀
Tumekuwa na negative society ambayo unapewa ushauri na kupangiwa na kila anayejua kuandika na kuongeaMume anamtaka yeye, viwango unamuwekea wewe?