Matunda ya usaliti

Matunda ya usaliti

Wewe binafsi amekusaliti nini? Kwanini msiseme chama kilimsaliti yeye maana mliowakaribisha siku zote aliwaita walafi wanakwiba mali za Taifa? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni...Jamaa alikijenga sana chama. Sasa hivi chama kinasubiri matukio ili waonekane wapo. Zamani walikuwa wanayatengeneza
Nimeitafakari user ID yako... Kisha nikalinganisha na ulichoandika.... Nimepata jibu la kushangaza... Lakini kwa faida yako ni kwamba kuna vingi vya kutafakari hapo zaidi ya kichwa cha habari na picha
 
Hivi Lipumba yeye hajapewa ubalozi?
Kamchezo alimkataa
IMG-20180320-WA0028.jpg
 
Mkuu andika hata kwa kiswahili inauma kuandika kwa lugha ya malkia afu hata tenses hujui duh! Samahani lakini! Ukiandika neno written kuna kitu wanaita helping verb nakumbuka form two miaka ya 80!!
Mmekutana mzungumzaji wa kingereza cha kitaa na wewe wa kingereza cha kwenye vitabu
 
Wewe binafsi amekusaliti nini? Kwanini msiseme chama kilimsaliti yeye maana mliowakaribisha siku zote aliwaita walafi wanakwiba mali za Taifa? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni...Jamaa alikijenga sana chama. Sasa hivi chama kinasubiri matukio ili waonekane wapo. Zamani walikuwa wanayatengeneza
Safi kabisa!!! Yale aliyoyaita mwenyekiti wa bavicha "makarai" kweli ni makarai!!! Huyu mzee huwezi kumkosea heshima! Wenye akili sober wanajua sasahivi chama kiko kwenye hali mbovu kuliko wakati wowote sababu hamna vichwa vyenye akili kama hiki.
 
Wanasiasa huwa hawana soni kabisa.mishipa ya aibu huwa imewakatika kabisaaaa!yaani kauzu km mbuzi
 
Wewe binafsi amekusaliti nini? Kwanini msiseme chama kilimsaliti yeye maana mliowakaribisha siku zote aliwaita walafi wanakwiba mali za Taifa? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni...Jamaa alikijenga sana chama. Sasa hivi chama kinasubiri matukio ili waonekane wapo. Zamani walikuwa wanayatengeneza
Hapa utaambulia matusi tu. Ila umeongea ukweli kabisa wahaya wanasema umeongea FAKTI.
 
Back
Top Bottom