Matunda ya usaliti

Matunda ya usaliti

Dr. Slaa ni kisiki hamumuwezi. Pia alipo kama balozi anawakilisha nchi na sio chama, hivyo hata lisu ama mbowe anaweza kuteuliwa kuwa balozi so kuteuliwa kwake msiseme msaliti ila yeye alijiondoa baada ya kusalitiwa na mbowe. Maana huyu mzee kakipigania chadema hadi kapata ulemavu. So huyu mzee namheshimu sana binafsi
 
Dr. Slaa ni kisiki hamumuwezi. Pia alipo kama balozi anawakilisha nchi na sio chama, hivyo hata lisu ama mbowe anaweza kuteuliwa kuwa balozi so kuteuliwa kwake msiseme msaliti ila yeye alijiondoa baada ya kusalitiwa na mbowe. Maana huyu mzee kakipigania chadema hadi kapata ulemavu. So huyu mzee namheshimu sana binafsi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] JF is never boring.... Kapata kilema!? kaupata ubalozi akiwa wapi!? Kama nani!? Kwanini!?.... Learn to see things beyond normal perception
 
Mshana wewe ni chadema so sijakushangaa kabisa kumponda sla na kumwita msaliti wakati cdm ndo walimsaliti mzee wa watu kwa kukiuza chama kwa yule mlokuwa mnamuita fisadi papa
 
Dr. Slaa ni kisiki hamumuwezi. Pia alipo kama balozi anawakilisha nchi na sio chama, hivyo hata lisu ama mbowe anaweza kuteuliwa kuwa balozi so kuteuliwa kwake msiseme msaliti ila yeye alijiondoa baada ya kusalitiwa na mbowe. Maana huyu mzee kakipigania chadema hadi kapata ulemavu. So huyu mzee namheshimu sana binafsi
Fact
 
Back
Top Bottom