Kama kichwa cha habari kilivyo ..kwa sasa kumekuwa na wimbi kubwa la vijana kutumia hii kitu ugoro, nina maswali kwa wanaJF.
1.nataka kufahamu madhara ya hii kitu maana nahisi vijana wanahangamia
2. Mbona serikali haipigi marufuku hii kitu na kukamata wamasai wote wanaofanya hii biashara coz asilimia 99 ni wao
3.je ni kweli masai wanachanganya na kinyesi kikavu cha binadamu katika kuleta stimu kali ya ugoro !
Naomba majibu ya maswali yangu maana midomo ya vijana sasa hivi meno ya chini yote yamebadilika rangi na mdomo wa chini unakua mrefu kushinda wa juu !!
Nawasilisha
Jumatatu nimekula zangu mabuyu manne ya chibuku kama saa nne usiku hivi, nikaja nikaongezea na ndoba 3 chapa jogoo, baadae nikabwia na goro.
Aisee nikaona dunia inazunguka, nikajisemea moyoni kuwa ngoja sasa nikae vizuri nione mwisho wake.
Sijakaa sawa muuzaji ananishitua anasema nyanyua miguu tufagie tunataka tunywe chai.
Ile kuangalia! kumbe tayari saa mbili asubuhi.
Sina hamu na ugoro.
Wana chadema wanaongoza kwa kula ugoro
Jumatatu nimekula zangu mabuyu manne ya chibuku kama saa nne usiku hivi, nikaja nikaongezea na ndoba 3 chapa jogoo, baadae nikabwia na goro.
Aisee nikaona dunia inazunguka, nikajisemea moyoni kuwa ngoja sasa nikae vizuri nione mwisho wake.
Sijakaa sawa muuzaji ananishitua anasema nyanyua miguu tufagie tunataka tunywe chai.
Ile kuangalia! kumbe tayari saa mbili asubuhi.
Sina hamu na ugoro.
Wana chadema wanaongoza kwa kula ugoro
MZEE kingunge mpaka meno ya chini yamebanduka
Angalau mwenzangu umefikaKweli wewe mla ugoro, uzi mzima umetambaa nao.
Kama kichwa cha habari kilivyo ..kwa sasa kumekuwa na wimbi kubwa la vijana kutumia hii kitu ugoro, nina maswali kwa wanaJF.
1.nataka kufahamu madhara ya hii kitu maana nahisi vijana wanahangamia
2. Mbona serikali haipigi marufuku hii kitu na kukamata wamasai wote wanaofanya hii biashara coz asilimia 99 ni wao
3.je ni kweli masai wanachanganya na kinyesi kikavu cha binadamu katika kuleta stimu kali ya ugoro !
Naomba majibu ya maswali yangu maana midomo ya vijana sasa hivi meno ya chini yote yamebadilika rangi na mdomo wa chini unakua mrefu kushinda wa juu !!
Nawasilisha