Matumizi ya ugoro yamezidi kwa sasa

Matumizi ya ugoro yamezidi kwa sasa

Ngusuu ya bibi aka dawa acha kabisa hiyo kitu
 
Baada ya serikali kuzuia kubeli vijana wengi wakaamia kwenye ugoro ila still ninaona pande za posta karibia na jengo la Qatar bado kuna watu wanawauzia kubeli wahindi kiujanja ujanja hasa sielewi kama serikal haielewi hili au wamekausha tu
 
Mkuu ni kweli vijana wadogo unawakuta wanakula ugoro kama mama yeyo wanafunga kwene kilailoni sjui wanafaidika na nini na hii kitu

Aisee!ngoja nianze ukaguzi mdomoni na chumbani kwa mwanangu.

Ole wake nikute meno ya chini na mdomo vimechakaa,mtakuja kumtetea nyie wenyewe.
 
Mkuu ni kweli vijana wadogo unawakuta wanakula ugoro kama mama yeyo wanafunga kwene kilailoni sjui wanafaidika na nini na hii kitu

Afu mkuu mboni unaongea kama unawaonea wivu sana teh teh?
 
mkuu wewe ndio umeona madhara ya hii kitu,nenda pale wizara ya afya tafuta udhamini wa kuendesha kampeni ya kupambana na wimbi la ubwiaji wa vumbi hili.Wakikuzingua nenda hata kwa viongozi wa makanisa makubwa waombe tu msaada wa udhamini wa gari ya kuzungukia mitaani kuendesha kampen ya kupambana na vitu hivi.MKUU UTAKUWA UMELISAIDIA TAIFA
 
Mi wananikera pale wanaporusha mimate yao!!. Ptsiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..........!
 
watumiaji wengi wa hiyo kitu hawana nguvu za kiume na wanahasira sana, HASARA ni kukosa nguvu kazi ya taifa miaka ijayo.
 
Afu mkuu mboni unaongea kama unawaonea wivu sana teh teh?
Mkuu mi nawasikitikia nimeshuudia wanafunzi wanatumia hii makitu aise sjajua wanapata faiida gani kama we nimtumiaji tujulishe
 
Kama kichwa cha habari kilivyo ..kwa sasa kumekuwa na wimbi kubwa la vijana kutumia hii kitu ugoro, nina maswali kwa wanaJF.

1.nataka kufahamu madhara ya hii kitu maana nahisi vijana wanahangamia

2. Mbona serikali haipigi marufuku hii kitu na kukamata wamasai wote wanaofanya hii biashara coz asilimia 99 ni wao

3.je ni kweli masai wanachanganya na kinyesi kikavu cha binadamu katika kuleta stimu kali ya ugoro !

Naomba majibu ya maswali yangu maana midomo ya vijana sasa hivi meno ya chini yote yamebadilika rangi na mdomo wa chini unakua mrefu kushinda wa juu !!

Nawasilisha

Huo ugolo wanavuta vijana sio ule kama wa babu yangu, huo ugolo pia huwekwa,

1. Tumbaku
2. Magadi
3.

Vingine muongezee wenyewe, wimbi hili la ugolo huu wa vijana limeongezeka baada ya nyinyiemu kupiga marufuku
"kubeli"

Kwa taarifa gunia moja la ugolo Tshs 700,000/=
 
Huo ugolo wanavuta vijana sio ule kama wa babu yangu, huo ugolo pia huwekwa,

1. Tumbaku
2. Magadi
3.

Vingine muongezee wenyewe, wimbi hili la ugolo huu wa vijana limeongezeka baada ya nyinyiemu kupiga marufuku
"kubeli"

Kwa taarifa gunia moja la ugolo Tshs 700,000/=

MSALANI Lizaboni MZIMU
 
Last edited by a moderator:
Serikali inapata fedha nying sana kupitia ugor
 
Kama kichwa cha habari kilivyo ..kwa sasa kumekuwa na wimbi kubwa la vijana kutumia hii kitu ugoro, nina maswali kwa wanaJF.

1.nataka kufahamu madhara ya hii kitu maana nahisi vijana wanahangamia

2. Mbona serikali haipigi marufuku hii kitu na kukamata wamasai wote wanaofanya hii biashara coz asilimia 99 ni wao

3.je ni kweli masai wanachanganya na kinyesi kikavu cha binadamu katika kuleta stimu kali ya ugoro !

Naomba majibu ya maswali yangu maana midomo ya vijana sasa hivi meno ya chini yote yamebadilika rangi na mdomo wa chini unakua mrefu kushinda wa juu !!

Nawasilisha

kitaalum ugoro ni ADDICTIVE SUBSTANCE, ukiutumia kwa muda mrefu unasababisha UTEGEMEZI (addiction of substance) na kuacha inakuwa vigumu kuacha, ukienda baadhi ya nchi nyingine ugoro umewekwa kwenye kundi la madawa ya kulevya yaani (ILLICIT DRUGS)
 
Mi wananikera pale wanaporusha mimate yao!!. Ptsiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..........!

Jinsi ulivoyatema humu kimaandishi, na kama mtemaji ana ule mwanya wa chini wa kulazimisha wa kimasai!
Weeeeeeeeee! Yanaruka kama ya nyoka.
 
I see

Kumbe biashara nzuri eeeh


Huo ugolo wanavuta vijana sio ule kama wa babu yangu, huo ugolo pia huwekwa,

1. Tumbaku
2. Magadi
3.

Vingine muongezee wenyewe, wimbi hili la ugolo huu wa vijana limeongezeka baada ya nyinyiemu kupiga marufuku
"kubeli"

Kwa taarifa gunia moja la ugolo Tshs 700,000/=
 
Ugoro umewaharibu vijana wengi sana tena ukiwaona huwezi ikaamini kama wanabwia ugoro,utaona midomo yao imelegea na kutema mate kila baada ya sekunde chache,na kama kweli unachanganywa na kinyesi cha binadamu bara waache na kutafuta kilevi kingine hata kama ugoro bei rahisi sio ishu waache kabisa
 
Back
Top Bottom