Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

Ole wao wanaoshea demu/ dume, kwani watakufa kifo kimoja endapo mmoja wao ana ngoma. Broda kama huwa unagonga kavu a.k.a stereo jiulize mara mbili
 
Ila umewahi kumuhukum hujamtendea haki ungempa nafasi zaid. punguza wivu ndugu
 
Wadau nimerudi tena baada ya kimya kirefu kiasi..
Hili limenitokea naombeni maoni yenu.
Baada ya pilikapilika za shughuli Juzi,nkajilaza na nikaamka mida ya saa sita usiku kuupigia simu ubavu wangu wa pili.
Tukaongea vizuri tu,lakini ghafla nkaambiwa subiri,simu ikakatwa. Nikapiga tena,simu yake iko bize,tena na tena naambiwa waiting hatimaye nkachoka. Nkatuma msg ifuatayo.
"si umeamua kutupanga,na katika list mi sina umuhimu,usintafute tena"
Kisha nkazima simu. Asubuhi nkakuta msg amejibu hivi;
"kama unahisi nimewapanga poa hamna shida ila nlikua naongea na mtu kuhusu mchongo wa ajira"

Kiukweli sijajibu kwa sababu zifuatazo.
1.mchongo wa kazi wanajadili usiku wote huo?
2 na si mara ya kwanza kitu km hicho kutokea na nlishamkanya awe na mipaka ya kuongea na watu baki usiku

Basi sijajibu msg ile mpk sasa.Na kila akipiga sipokei. Leo kanitumia msg hii hapa.
"kuchuniwa raha we acha tu,ukipiga simu haipokelewi,text hazijibiwi,mbona watu watakoma mwaka huu?"

Sijajibu msg hii.Na mpk sasa namwona mzushi ananicheat. Je wewe unaonaje? Ungekua ww ungefanyaje?

Mpotezee bana wanawake wengi tena wengne wastaharabu na wazuri kweli kweli wanajua thamani ya kupedwa acha na huyo customer care wa usiku.kwani ulizaliwa nae paka um bembeleze
 
heri yangu mimi mwisho wa kupiga simu saa kumi jioni .....kupigiwa kumi na mbili jioni....kupiga/kupigiwa....kuanzia saa mbili na nusu asubuhi.....period.....

mdada sasa ule muda wa kumkamata m2 wewe ndo hupigi wala kupigiwa hujui usiku una mambo mengi ya giza ndo maana ulinzi unaimarishwa kila mahali hata mahusiano?mi nadhani usimuache pasipo udhibitisho wa maovu yake,what if what she says is true?
 
heri yangu mimi mwisho wa kupiga simu saa kumi jioni .....kupigiwa kumi na mbili jioni....kupiga/kupigiwa....kuanzia saa mbili na nusu asubuhi.....period.....

Unatakiwa kuguard ur treasure otherwise ndo he‘ll be snatche na usijue!
 
ipe roho yako kile in apenda Endelea naye kuacha wakati demu unampenda kunahitaji ujasiri Je unao?? umewahi kumukata kuku aliye hai shingo kwa meno??
 
Sasa hupokei simu akupe maelezo sie unataka tukujibu aje?
Unajichosha roho yako, pokea simu akudanganye kidogo roho itulie. Otherwise usingehitaji ushauri hapa!

Wewe una akili sana,hili ni jibu muafaka.Either pokea cm udanganywe au anza maisha mapya ndivyo walivyo na huyo ni kicheche mzoefu ndio maana hata roho haimuumi
 
Kama ni ubavu wako weka ndani ili wadokozi wasipate nafasi usiogope garama nenda kwenye ndoa za mafungu

Mchana mzima unakaa kimya wala huhangaiki kumpigia simu bf wako. Saa 7 au 8 usiku eti ndo unaanza kumpigia, asipopokea kwa sababu yuko usingizini unaanza milawama, eti kashindwa coz yuko na mwanamke mwingine, mara oooh hunipendi vinginevyo ungepokea simu yangu na mengine mengi. Acheni hizo kina dada.

Kama mwanaume ni mkware anaweza akapokea simu yako na bado wakati anaongea na wewe hiyo saa 6, au 7 usiku pembeni kipo kidosho kinaramba koni. We unaridhika eti yuko salama kumbe ukikata simu tu, mtanange unaendelea.

Simu sio mlinzi wa penzi lako kwa bf au gf wako. Ishi tu kwa matumaini upate amani moyoni mwako!

Ni hayo kwa leo!

Wasalaaam!
 
Wadau nimerudi tena baada ya kimya kirefu kiasi..
Hili limenitokea naombeni maoni yenu.
Baada ya pilikapilika za shughuli Juzi,nkajilaza na nikaamka mida ya saa sita usiku kuupigia simu ubavu wangu wa pili.
Tukaongea vizuri tu,lakini ghafla nkaambiwa subiri,simu ikakatwa. Nikapiga tena,simu yake iko bize,tena na tena naambiwa waiting hatimaye nkachoka. Nkatuma msg ifuatayo.
"si umeamua kutupanga,na katika list mi sina umuhimu,usintafute tena"
Kisha nkazima simu. Asubuhi nkakuta msg amejibu hivi;
"kama unahisi nimewapanga poa hamna shida ila nlikua naongea na mtu kuhusu mchongo wa ajira"

Kiukweli sijajibu kwa sababu zifuatazo.
1.mchongo wa kazi wanajadili usiku wote huo?
2 na si mara ya kwanza kitu km hicho kutokea na nlishamkanya awe na mipaka ya kuongea na watu baki usiku

Basi sijajibu msg ile mpk sasa.Na kila akipiga sipokei. Leo kanitumia msg hii hapa.
"kuchuniwa raha we acha tu,ukipiga simu haipokelewi,text hazijibiwi,mbona watu watakoma mwaka huu?"

Sijajibu msg hii.Na mpk sasa namwona mzushi ananicheat. Je wewe unaonaje? Ungekua ww ungefanyaje?

msikilize ujue kulikoni
 
Ukila nawe kubali kuliwa sasa wewe Kisu unataka kula tu.Inawezekana humtimizii baadhi ya mahitaji ndo maana ameamua kumtafuta mwenzako akusaidie.
 
Mchana mzima unakaa kimya wala huhangaiki kumpigia simu bf wako. Saa 7 au 8 usiku eti ndo unaanza kumpigia, asipopokea kwa sababu yuko usingizini unaanza milawama, eti kashindwa coz yuko na mwanamke mwingine, mara oooh hunipendi vinginevyo ungepokea simu yangu na mengine mengi. Acheni hizo kina dada.

Kama mwanaume ni mkware anaweza akapokea simu yako na bado wakati anaongea na wewe hiyo saa 6, au 7 usiku pembeni kipo kidosho kinaramba koni. We unaridhika eti yuko salama kumbe ukikata simu tu, mtanange unaendelea.

Simu sio mlinzi wa penzi lako kwa bf au gf wako. Ishi tu kwa matumaini upate amani moyoni mwako!

Ni hayo kwa leo!

Wasalaaam!

kaka chapa lapa, hapo mmepangwa baab. mie ilishanitokea akanidanganya alikuwa anaongea na ccta(it was the day brazil wanacheza na taifa starz), nikasamehe ila ukweli niliujua baadae alikuwa na mtu. tulishaachana anyway.
 
Wadau nimerudi tena baada ya kimya kirefu kiasi..
Hili limenitokea naombeni maoni yenu.
Baada ya pilikapilika za shughuli Juzi,nkajilaza na nikaamka mida ya saa sita usiku kuupigia simu ubavu wangu wa pili.
Tukaongea vizuri tu,lakini ghafla nkaambiwa subiri,simu ikakatwa. Nikapiga tena,simu yake iko bize,tena na tena naambiwa waiting hatimaye nkachoka. Nkatuma msg ifuatayo.
"si umeamua kutupanga,na katika list mi sina umuhimu,usintafute tena"
Kisha nkazima simu. Asubuhi nkakuta msg amejibu hivi;
"kama unahisi nimewapanga poa hamna shida ila nlikua naongea na mtu kuhusu mchongo wa ajira"

Kiukweli sijajibu kwa sababu zifuatazo.
1.mchongo wa kazi wanajadili usiku wote huo?
2 na si mara ya kwanza kitu km hicho kutokea na nlishamkanya awe na mipaka ya kuongea na watu baki usiku

Basi sijajibu msg ile mpk sasa.Na kila akipiga sipokei. Leo kanitumia msg hii hapa.
"kuchuniwa raha we acha tu,ukipiga simu haipokelewi,text hazijibiwi,mbona watu watakoma mwaka huu?"

Sijajibu msg hii.Na mpk sasa namwona mzushi ananicheat. Je wewe unaonaje? Ungekua ww ungefanyaje?


"Namuona mzushi...anacheat" tena ningekuwa ndo wewe hata JF nisingelifikisha....ningeshampa za mbavu long time
 
"Namuona mzushi...anacheat" tena ningekuwa ndo wewe hata JF nisingelifikisha....ningeshampa za mbavu long time

Erick52 kupiga sio ishu pia kupenda ni mzigo mzito na unahitaji moyo kutolea maamuzi kwanza anatakiwa achunguze japo kwa sms za binti inaonekana binti amechukulia poa ishu ya job saa sita hajui hata kudanganya si mwaminifu Kabisa
 
Mchana mzima unakaa kimya wala huhangaiki kumpigia simu bf wako. Saa 7 au 8 usiku eti ndo unaanza kumpigia, asipopokea kwa sababu yuko usingizini unaanza milawama, eti kashindwa coz yuko na mwanamke mwingine, mara oooh hunipendi vinginevyo ungepokea simu yangu na mengine mengi. Acheni hizo kina dada.

Kama mwanaume ni mkware anaweza akapokea simu yako na bado wakati anaongea na wewe hiyo saa 6, au 7 usiku pembeni kipo kidosho kinaramba koni. We unaridhika eti yuko salama kumbe ukikata simu tu, mtanange unaendelea.

Simu sio mlinzi wa penzi lako kwa bf au gf wako. Ishi tu kwa matumaini upate amani moyoni mwako!

Ni hayo kwa leo!

Wasalaaam!

simu za kawaida mara nyingi mtu kachelewa sana saa 3 usiku mwisho. zaidi ya hapo ni mtu wako wa karibu sana ambaye hata usiku wa manane anaweza kukupigia na iwe kawaida. unless mchongo huo wa kazi ni Marekani ambako tunatofautiana masaa 8-12. message anazokutumia zinaongea zenyewe, anakukejeli (sanif) hana shida na wewe. funguka...
 
Erick52 kupiga sio ishu pia kupenda ni mzigo mzito na unahitaji moyo kutolea maamuzi kwanza anatakiwa achunguze japo kwa sms za binti inaonekana binti amechukulia poa ishu ya job saa sita hajui hata kudanganya si mwaminifu Kabisa

Hivi pendo siunaona na anavyotuma hizo msg?
Hazina hata chembe ya busara wala ukarimu...lol
mwanamke gani wa hivyo.....hata kupenda kunafaa uangalifu...binti huyu si mwaminifu na ni mshari sana....hafai hata kuwa rafiki...
 
Back
Top Bottom