Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
Ole wao wanaoshea demu/ dume, kwani watakufa kifo kimoja endapo mmoja wao ana ngoma. Broda kama huwa unagonga kavu a.k.a stereo jiulize mara mbili
Kuna watu ukiwapa maskio tu utawapa na moyo..it has happened before with the same girl
Wadau nimerudi tena baada ya kimya kirefu kiasi..
Hili limenitokea naombeni maoni yenu.
Baada ya pilikapilika za shughuli Juzi,nkajilaza na nikaamka mida ya saa sita usiku kuupigia simu ubavu wangu wa pili.
Tukaongea vizuri tu,lakini ghafla nkaambiwa subiri,simu ikakatwa. Nikapiga tena,simu yake iko bize,tena na tena naambiwa waiting hatimaye nkachoka. Nkatuma msg ifuatayo.
"si umeamua kutupanga,na katika list mi sina umuhimu,usintafute tena"
Kisha nkazima simu. Asubuhi nkakuta msg amejibu hivi;
"kama unahisi nimewapanga poa hamna shida ila nlikua naongea na mtu kuhusu mchongo wa ajira"
Kiukweli sijajibu kwa sababu zifuatazo.
1.mchongo wa kazi wanajadili usiku wote huo?
2 na si mara ya kwanza kitu km hicho kutokea na nlishamkanya awe na mipaka ya kuongea na watu baki usiku
Basi sijajibu msg ile mpk sasa.Na kila akipiga sipokei. Leo kanitumia msg hii hapa.
"kuchuniwa raha we acha tu,ukipiga simu haipokelewi,text hazijibiwi,mbona watu watakoma mwaka huu?"
Sijajibu msg hii.Na mpk sasa namwona mzushi ananicheat. Je wewe unaonaje? Ungekua ww ungefanyaje?
heri yangu mimi mwisho wa kupiga simu saa kumi jioni .....kupigiwa kumi na mbili jioni....kupiga/kupigiwa....kuanzia saa mbili na nusu asubuhi.....period.....
heri yangu mimi mwisho wa kupiga simu saa kumi jioni .....kupigiwa kumi na mbili jioni....kupiga/kupigiwa....kuanzia saa mbili na nusu asubuhi.....period.....
Sasa hupokei simu akupe maelezo sie unataka tukujibu aje?
Unajichosha roho yako, pokea simu akudanganye kidogo roho itulie. Otherwise usingehitaji ushauri hapa!
Mchana mzima unakaa kimya wala huhangaiki kumpigia simu bf wako. Saa 7 au 8 usiku eti ndo unaanza kumpigia, asipopokea kwa sababu yuko usingizini unaanza milawama, eti kashindwa coz yuko na mwanamke mwingine, mara oooh hunipendi vinginevyo ungepokea simu yangu na mengine mengi. Acheni hizo kina dada.
Kama mwanaume ni mkware anaweza akapokea simu yako na bado wakati anaongea na wewe hiyo saa 6, au 7 usiku pembeni kipo kidosho kinaramba koni. We unaridhika eti yuko salama kumbe ukikata simu tu, mtanange unaendelea.
Simu sio mlinzi wa penzi lako kwa bf au gf wako. Ishi tu kwa matumaini upate amani moyoni mwako!
Ni hayo kwa leo!
Wasalaaam!
Wadau nimerudi tena baada ya kimya kirefu kiasi..
Hili limenitokea naombeni maoni yenu.
Baada ya pilikapilika za shughuli Juzi,nkajilaza na nikaamka mida ya saa sita usiku kuupigia simu ubavu wangu wa pili.
Tukaongea vizuri tu,lakini ghafla nkaambiwa subiri,simu ikakatwa. Nikapiga tena,simu yake iko bize,tena na tena naambiwa waiting hatimaye nkachoka. Nkatuma msg ifuatayo.
"si umeamua kutupanga,na katika list mi sina umuhimu,usintafute tena"
Kisha nkazima simu. Asubuhi nkakuta msg amejibu hivi;
"kama unahisi nimewapanga poa hamna shida ila nlikua naongea na mtu kuhusu mchongo wa ajira"
Kiukweli sijajibu kwa sababu zifuatazo.
1.mchongo wa kazi wanajadili usiku wote huo?
2 na si mara ya kwanza kitu km hicho kutokea na nlishamkanya awe na mipaka ya kuongea na watu baki usiku
Basi sijajibu msg ile mpk sasa.Na kila akipiga sipokei. Leo kanitumia msg hii hapa.
"kuchuniwa raha we acha tu,ukipiga simu haipokelewi,text hazijibiwi,mbona watu watakoma mwaka huu?"
Sijajibu msg hii.Na mpk sasa namwona mzushi ananicheat. Je wewe unaonaje? Ungekua ww ungefanyaje?
Mchana mzima unakaa kimya wala huhangaiki kumpigia simu bf wako. Saa 7 au 8 usiku eti ndo unaanza kumpigia, asipopokea kwa sababu yuko usingizini unaanza milawama, eti kashindwa coz yuko na mwanamke mwingine, mara oooh hunipendi vinginevyo ungepokea simu yangu na mengine mengi. Acheni hizo kina dada.
Kama mwanaume ni mkware anaweza akapokea simu yako na bado wakati anaongea na wewe hiyo saa 6, au 7 usiku pembeni kipo kidosho kinaramba koni. We unaridhika eti yuko salama kumbe ukikata simu tu, mtanange unaendelea.
Simu sio mlinzi wa penzi lako kwa bf au gf wako. Ishi tu kwa matumaini upate amani moyoni mwako!
Ni hayo kwa leo!
Wasalaaam!
Wadau nimerudi tena baada ya kimya kirefu kiasi..
Hili limenitokea naombeni maoni yenu.
Baada ya pilikapilika za shughuli Juzi,nkajilaza na nikaamka mida ya saa sita usiku kuupigia simu ubavu wangu wa pili.
Tukaongea vizuri tu,lakini ghafla nkaambiwa subiri,simu ikakatwa. Nikapiga tena,simu yake iko bize,tena na tena naambiwa waiting hatimaye nkachoka. Nkatuma msg ifuatayo.
"si umeamua kutupanga,na katika list mi sina umuhimu,usintafute tena"
Kisha nkazima simu. Asubuhi nkakuta msg amejibu hivi;
"kama unahisi nimewapanga poa hamna shida ila nlikua naongea na mtu kuhusu mchongo wa ajira"
Kiukweli sijajibu kwa sababu zifuatazo.
1.mchongo wa kazi wanajadili usiku wote huo?
2 na si mara ya kwanza kitu km hicho kutokea na nlishamkanya awe na mipaka ya kuongea na watu baki usiku
Basi sijajibu msg ile mpk sasa.Na kila akipiga sipokei. Leo kanitumia msg hii hapa.
"kuchuniwa raha we acha tu,ukipiga simu haipokelewi,text hazijibiwi,mbona watu watakoma mwaka huu?"
Sijajibu msg hii.Na mpk sasa namwona mzushi ananicheat. Je wewe unaonaje? Ungekua ww ungefanyaje?
"Alipoianza safari, walimtia moyooo...
Alipokaribia mafanikio walianzisha vikwazooo..."
source:Bahati Bukuku.
"Namuona mzushi...anacheat" tena ningekuwa ndo wewe hata JF nisingelifikisha....ningeshampa za mbavu long time
Mchana mzima unakaa kimya wala huhangaiki kumpigia simu bf wako. Saa 7 au 8 usiku eti ndo unaanza kumpigia, asipopokea kwa sababu yuko usingizini unaanza milawama, eti kashindwa coz yuko na mwanamke mwingine, mara oooh hunipendi vinginevyo ungepokea simu yangu na mengine mengi. Acheni hizo kina dada.
Kama mwanaume ni mkware anaweza akapokea simu yako na bado wakati anaongea na wewe hiyo saa 6, au 7 usiku pembeni kipo kidosho kinaramba koni. We unaridhika eti yuko salama kumbe ukikata simu tu, mtanange unaendelea.
Simu sio mlinzi wa penzi lako kwa bf au gf wako. Ishi tu kwa matumaini upate amani moyoni mwako!
Ni hayo kwa leo!
Wasalaaam!
Erick52 kupiga sio ishu pia kupenda ni mzigo mzito na unahitaji moyo kutolea maamuzi kwanza anatakiwa achunguze japo kwa sms za binti inaonekana binti amechukulia poa ishu ya job saa sita hajui hata kudanganya si mwaminifu Kabisa