Matumizi ya simu katika Mahusiano


Naona somo la Nyamayao linaeleweka vizuri sasa,

Dawa ya moto ni.....

Safi sana binti!! Hakuna kulala......and People's ...........Najua mtamalizia!!
 
Reactions: ram
Labda amependa sana ndo maana kamtukana si huwa nasikia love is blind, not sure if love is deaf-mute
 
Labda amependa sana ndo maana kamtukana si huwa nasikia love is blind, not sure if love is deaf-mute
huyo bwana mshamba sana anagawa namba yake kwa kimada wenzake wanaowaheshimu wake zao wale wenye nidhamu ya woga wana simu ya home na ofisini akirudi hata akikuachia masaa kumi hukuti msg wala simu ikipigwa hapo ikipigwa cm niya kazi tu akienda ofisini ndio anawasiliana na vimada kwenye line nyingine na cm ambayo hujawahi kuitia machoni.nakushauri achana nae **** huyo mwanamke anatapatapa mwisho wa siku huyo ni mumeo ng'ang'ania hapohapo hakuna kuondoka akitaka aondoke yeye.
 
Usije kunifanya nikamsaidie hubby kupanga ofisi yake this week end; Lol. Kumbe kuna simu mbili. Makubwa!

 
ni makosa makubwa sana kupokea cm isiyoyako ndio mana kila mtu anayake

 
Jamani mpenzi wangu wa kike amenisevu jina la kike kama Khalima.

Nimegundua hili nilipomwomba simu yake nijibeep ili kuona kama ringtone kwenye simu yangu mpya umefanikiwa.

Sijapata jibu,nini tafsiri yaye kunifanyia hivyo!

Mnifungue jamani kimawazo.
 

Tafsiri yake ni kwamba ana njemba ingine pembeni na hataki hiyo njemba ijue kuhusu wewe. Njemba ikiona jina la Khalima wala halitamaindi. Stuka.
 
We msevu la kiume andika Joti n.k halafu fanya ujanja aone na yeye halafu
uangalie atalichukuliaje?
 

Mbona hapo kila kitu kipo waaaazi....tena uchi kabisa!!!! Ujue huli peke yako...haya Funguka kimawazo sasa..
 
haha situation luking kinda of bad...wewe chakacua tuu lakini mpo wengi so just enjoy bila kuweka nanga hapo
 
Tafuta demu mwingine tu! Bila shaka anakuona kuwa "wa kuzugia."

 
Yeye ndo anakufahamu zaidi,hadi kukubatiza Khalima! Huenda wewe ni jianaume kama binti Khalima. Pole sana kwa kuwa kwenye msurulu wa wapiga mpini wa huyo demu wenu maana si wako peke yako.
 
Hapo kuna shida mkuu, funguka!

unajua ishu ya mapenzi sijui Mungu aliumbaje yaani! kama hapa kila kitu kiko wazi ila kwa walio nje, kwa muhusika mwenyewe haoni, rafiki yangu Chipanje ndio kwanza anaomba ushauri, yuko 50/50, labda inawezekana au haiwezekani na inawezekana haya mnayomshauri akaenda kumwambia huyo mpenzi wake kuwa 'jamaa wamesema itakuwa kweli we una mtu' dada akijitetea basi yanaisha kiulaini tu na Chipanje anaona JF mnataka kumvunjia ndoa yake bure

Mi sishauri hapo

 
Pole Mheshimiwa sana! Hata hivyo kama alivyokwambia mdau-ment mwenza hapo juu kuna wenzako wengine wameseviwa such as "Mzushi" "Voucher" "Mcharuko" "Pasuakichwa" "Speartyre" huoni wewe liko afadhali ? Pole mkubwa! Oooh-maaama!
 
Me siku nikikuta hivyo kwenye simu ya mwanamke wangu naipasua mbele yake coz ananivunjia heshima na bora angeniambia kwamba haitaji kuwa na mimi kuliko kuleta ujanja ujanja,au mkuu kama ulikuwa unatoa huduma then huduma zote kata alafu wewe kula tunda kama kawaida wala usiangaike tena.....

 

shukuru kwa hilo,wanaume kibao mjini enzi zile walikuwa wanawasevu wake zao kwa jina la 'gewe' baadae ikaja 'tibaigana' na siku hizi ma wife wengi mjini wanaseviwa kwa jina la 'kova'.
Usiniulize kwa nini,it is for obvious reasons ukizingatia ndoa za kibongo.
 
Pole Mheshimiwa sana! Hata hivyo kama alivyokwambia mdau-ment mwenza hapo juu kuna wenzako wengine wameseviwa such as "Mzushi" "Voucher" "Mcharuko" "Pasuakichwa" "Speartyre" huoni wewe liko afadhali ? Pole mkubwa! Oooh-maaama!

Ahsnte judgement!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…