Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,875
Aaah my weekend was uneventful bana.....ulijichimbia wapi lakini weekend hii?
nilikuwepo wewe ndio haukuwepo
Aaah my weekend was uneventful bana.....ulijichimbia wapi lakini weekend hii?
Mzima wa afya cazin! wea ari yuuuuuuuuuu?
amsamehe tu hizo ni ajali ndogo ndogo ambazo huwa zinatokea
ur totally wrong hapa, mke analiwa nje then ni ajali ndogo...!!!? u r a lady sikutegemea jibu hili, this is the biggest mistake kwenye ndoa na kama ni mkristu then ndoa unaweza kuivunja kihalali, we have to be serious hasa kwenya ndoa, huu si nyakati za GF & BF, mm namfukuza mara moja, akaliwe huko vizuri, this is serious think deep, deeep within, love is indivisible, one on one period.......!!!!!!!!!!!
NGO ndoa yako ina miaka mingappi sijaelewa sentensi ya mwisho umesemaje vile[/QUOTE]
Mwezi wa nane tulitimiza miaka 9 na watoto watatu tubarikiwa.
amsamehe tu hizo ni ajali ndogo ndogo ambazo huwa zinatokea
kwa nini usome message ya mkeo? unaitafuta presha eeh
ur totally wrong hapa, mke analiwa nje then ni ajali ndogo...!!!? u r a lady sikutegemea jibu hili, this is the biggest mistake kwenye ndoa na kama ni mkristu then ndoa unaweza kuivunja kihalali, we have to be serious hasa kwenya ndoa, huu si nyakati za GF & BF, mm namfukuza mara moja, akaliwe huko vizuri, this is serious think deep, deeep within, love is indivisible, one on one period.......!!!!!!!!!!!
duuh kumbe tuko tofauti enhheeee,
kumbe hata ushauri tutakao utoa hapa utakuwa tofauti sana na maamuzi ya mmegewa
nimeichukua hii, ni ya ukweli! Si ndiyo?Women are just as bad as men when it comes to infidelity. And for every cheating man there is a cheating woman.....take that!!!!
hapana, naikataa hii! Si ndiyo?Dawa ya fumanizi, hasa la mke ni kumwachia huyo mme mwenzio, basi.
Sijaelewa, GONGOTAMU na POLISI mbona avatar zinafanana.? au ni mtu mmoja huyo huyo? manaana wote mnaonekana wageni jamvini naomba ufafanuzi.
hata Yesu aliwaambia wale watu waliokuwa wanataka kumpiga mawe mwanamke aliyezini, akawauliza kama kuna aliyemsafi na ampige mawe....je walimpiga?...tafakari