Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

kitu pekee kinacho halalisha talaka ni uzinzi nje ya ndoa..............
 
Aende kwa vacation kidogo mbali na uyo mama alafu akirudi amwambie nimekusamehe kama ata admit kosa
 
mmh hapo ni ngumu,mwenye uamuzi ni jamaa maana yeye ndo anajua hilo jambo limemgua vipi na anajua impacts zake in both side cha muhimu asikurupuke ila akae afikirie which is the best solution to him amboyo haitamfanya ajute badae coz huyo ni mke wake wa ndoa na wana watoto wawili
 
Preta;amsamehe tu hizo ni ajali ndogo ndogo ambazo huwa zinatokea[/COLOR][/SIZE][/FONT][/QUOTE]

Preta ajali kubwa ni zipi katika ndoa kama siyo hiyo mojawapo? Kwa mtu unayejuwa ni mumeo/mkeo unagunduwa kashatembea nje na anakueleza sababu zisizo za msingi maana najua hakuna sababu yeyite ya Msingi kwa mwandandoa yeyote Kwenda nje ya ndoa yake unategemea Upendo uwepo kweli? Mtakuwa mnaishi tu kwa ajili ya kuwalea watoto bali si kwa Upendo kama Mwanzo, hii khali itakuwa inajirudia rudia kichwani kuona mtu Uliyempenda Kakusaliti. Kamwe Usitegee Uaminifu toka Kwa Mwenzi wako, ni Ufa unajengwa na hauzibiki japo mtaweza kuona kma mumeziba.

Huwa naomba Mungu kila siku Hii khali Isinitokee daima maana sitegemei ku-cheat na Sitagemei kusikia au kuona mwenzi wangu ananiendea kinyume.
 
NGO ndoa yako ina miaka mingappi sijaelewa sentensi ya mwisho umesemaje vile
 
mie nadhani wanawake hawacheat kny ndoa,
wakicheat then kuna serious problem kny hio ndoa,
huyo baba ajiangalie/kague where did he go wrong...???

ilimradi mama kakiri kosa,amsamehe..
amchunguze kama kajirekebisha?
kama kajirekebisha then waendelee...
kama hajajirekebisha pia asimuache waendelee kuwa pamoja for the sake of their chidren...ila wasishishiriki ngono!
na yeye aanze kuwa na mchakato wa kuwa na nyumba ndogo,sababu ndoa yake imekufa kibudu tayari..:embarrassed:
 
Women are just as bad as men when it comes to infidelity. And for every cheating man there is a cheating woman.....take that!!!!
 
NN,may be its just me,
i dont believe tuko sawa wanawake na wanaume,when it comes to infidelity...
i just think wanaume find so easy kucheat compared to women,,,
wanawake once tumejicommit,tumejicommit...kweli kweli!
...but again,its just me...
 
NN,may be its just me,
i dont believe tuko sawa wanawake na wanaume,when it comes to infidelity...
i just think wanaume find so easy kucheat compared to women,,,
wanawake once tumejicommit,tumejicommit...kweli kweli!
...but again,its just me...

Well...I think it's just you maana mambo ninayoyaona huko maofisini hmmmmm......
 
Back
Top Bottom