Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
kweli kichaa kapewa rungu. Kazi kweli kweli.:d
Usisahau Geoff ana taska kreti 1 kwa rungu alilonipa!
kweli kichaa kapewa rungu. Kazi kweli kweli.:d
KWA HESHIMA YA KUNTA KINTE....
kuiweka call barring ni *35*000#(hapa unaweza mpa waifu simu akakaa nayo hata miaka miwili)
kuiondoa ni #35*000#
Nimekugongea senksi broda! gracious!
hahaaa afu MC alijidunga 'Valuuu 'kibao kabla ya game kumbe ndo anenda kujimaliza!!umeipenda eeh!TWENDE KAAZI.
kadri wanavyoimprove skillz zao sisi tunaingia maabara na kuja na mbuni mpya za kuwakabili!
kuna mmoja ''amemkatikia'' emsii wa moshi hadi kadedi.mbaya zaidi ni mke wa mtu
Iribini watch out usije ukafia kwenye vifua vya wakina Eliza hahaaa!!!
nafikiri wikiendi hii nitakuwa huko na dada akoUsisahau Geoff ana taska kreti 1 kwa rungu alilonipa!
You are right! Hanemuni zitaishaje wakati kila siku tunadumisha mila?hane muni huwa haziishagi bana,
utaona mwenyewe ukiingia kundini, saa ya kununa zinapumzishwa wakati wa vicheko zinaendelea
haha haaaaaaaa, mpwa mbona una mashaka? kwani haiwezekani?mmh ngoja nikupe benefit of doubt🙄
kudadadeeeekiiii, kitu kinafanya kazi!!,
hahahaaa, sasa ni KUDUMISHA MILA ANYTIME, ANYWHERE, ANYCOST!.
Oh kuiondoa ni
#35*000#
#35*000#
#35*000#
hili likitokea ni baraka na heshima kubwa kwenye chama chetu kipya cha wazee wa ki-milahahaaa afu MC alijidunga 'Valuuu 'kibao kabla ya game kumbe ndo anenda kujimaliza!!
Iribini watch out usije ukafia kwenye vifua vya wakina Eliza hahaaa!!!
Chimunguru wewe ni He? samahani kwa kukuuliza swali la nguoni.
sasa hii mimi huwa naziweka jumapili asubuhi kwenye simu zangu,dheni nazibwaga simu kwenye kochi mimi nachapa mwendo hadi chawote!..kurudi saa SITA USIKU!dada ake x-pin HAPO HESHIMA JUUOh kuiondoa ni
#35*000#
#35*000#
#35*000#
Kweli wanaume hamuwezekani!sasa hii mimi huwa naziweka jumapili asubuhi kwenye simu zangu,dheni nazibwaga simu kwenye kochi mimi nachapa mwendo hadi chawote!..kurudi saa SITA USIKU!dada ake x-pin HAPO HESHIMA JUU
sasa kama ni namba za muhimu inakuwaje? au unbarr zile ambazo hutaki ziingie pekee? au zote?sasa hii mimi huwa naziweka jumapili asubuhi kwenye simu zangu,dheni nazibwaga simu kwenye kochi mimi nachapa mwendo hadi chawote!..kurudi saa SITA USIKU!dada ake x-pin HAPO HESHIMA JUU
mie ni HE bana, kwani iko tatizo yeyote?
si kwa ubaya, sometime nataka tu kujua kama kama hubby bado analipa, yani kama kuna vidada vinamshobokea au vp ili nijue thamani yake niongeze manjonjo. inaitwa self assessment.
sasa kama ni namba za muhimu inakuwaje? au unbarr zile ambazo hutaki ziingie pekee? au zote?
Kaka imeandikwa wapi WOMEN ARE NOT ALLOWED? Wanaume waweze wananini na sie tushindwe tunanini?Afu we dada! Mwanamke kuweka SECURITY CODE ni STRICTILY PROHIBITED!
yaani mama,Kweli wanaume hamuwezekani!
kadri siku zinavyosogea MAUJANJA NA TECHNOLOJIA tunaviboresha!hao wengine jumapili hawana umuhimu sana kunitafuta.ila mimi nikiamua kuwatafuta nawapata.(ninayo line nyingine ambayo hata namba yake siijui,lakini ina namba zoote za watu wangu muhimu)
kushindana nao ni kama vile teacher au prof na wanafunzi wanaodesea!!!!! kila siku wavumbua mbinu mpya!!!!Kweli wanaume hamuwezekani!
naona hayo ni manjonjo ya invisibleJamani mbona imeonekana kama umenikoti mimi wakati si post yangu?
naona hayo ni manjonjo ya invisible